Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,440
Poleni sana Wana CDM wote, poleni sana BAVICHA, Mola wetu azidi kuwapeni nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu cha majonzi mnachokipitia.View attachment 1184095
View attachment 1184096
View attachment 1184097
Hili ni jibu la baadhi ya wanajf waliokuwa wanamuulizia Mh Sumaye , hata hivyo Sumaye hata angekuwa DSM asingethubutu kujichanganya na wanafiki
Poleni sana ndugu zetu Mungu awabarikiView attachment 1184095
View attachment 1184096
View attachment 1184097
Hili ni jibu la baadhi ya wanajf waliokuwa wanamuulizia Mh Sumaye , hata hivyo Sumaye hata angekuwa DSM asingethubutu kujichanganya na wanafiki
Bodaboda wanapoteza nguvu kazi za taifa kwa uzembe.
Ndio mkuu alipata ajali ya bodaboda.Aligongwa na boda boda au?