Ndugu wa Trump
JF-Expert Member
- Nov 9, 2016
- 958
- 703
Duuu maisha kweli ni pinduapinda Sumaye yule ninaemju kumbe bado yuko dar? Dunia nzima iko dar yeye kajichimbia docho ! Lakini hayo maisha kayataka mwenyeweR.I.P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu maisha kweli ni pinduapinda Sumaye yule ninaemju kumbe bado yuko dar? Dunia nzima iko dar yeye kajichimbia docho ! Lakini hayo maisha kayataka mwenyeweR.I.P
Mlifuatilia na kumuelewa huyo bodaboda ni mwanachama wa chama gani?Ndio mkuu alipata ajali ya bodaboda.
Kinachokusumbua ni mifumo ya kitumwa ya kiafrica tuHivi kumbe siku hizi wanawake wanaruhusiwa kubeba jeneza na hata kuweka mwili kaburini dunia inakwenda kasi sana
Duuu maisha kweli ni pinduapinda Sumaye yule ninaemju kumbe bado yuko dar? Dunia nzima iko dar yeye kajichimbia docho ! Lakini hayo maisha kayataka mwenyewe
We jamaa hilo jina duuuuh umenikumbusha home kabisaRip Maura
Hayo mwachie mwenyewe anajua kwa nini.Mungu kwanini unaruhusu haya lakini 😢😭
View attachment 1184095
View attachment 1184096
View attachment 1184097
Hili ni jibu la baadhi ya wanajf waliokuwa wanamuulizia Mh Sumaye , hata hivyo Sumaye hata angekuwa DSM asingethubutu kujichanganya na wanafiki
Wao pia si binadamu kama wengine au wanamikia matakoni?View attachment 1184095
View attachment 1184096
View attachment 1184097
Hili ni jibu la baadhi ya wanajf waliokuwa wanamuulizia Mh Sumaye , hata hivyo Sumaye hata angekuwa DSM asingethubutu kujichanganya na wanafiki