Mzee Sumaye: Kuelekea uchaguzi mkuu wapinzani wanapaswa kuwa wavumilivu amani ikitoweka wote tutavurugikiwa

Habari kama hzi muwe mnaweka clip kuliko kuchagua maneno unayopenda watu wayasome...context ni muhimu!
 
Hahaha, Yani wapinzani wao ni wa kuvumilia miaka na miaka, acha damu imwagike kwani hata damu ikimwagika haichagui huyu ni mpinzani hivyo hata ya CCM nayo itamwagika tena sana tu

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Hapana.Nakupinga damu isimwajike wavumilie tu hamna namna!
 
Huyu Mzee atakuwa ametumwa,kwanini asiwaambie CCM ambao ndiyo watailetea machafuko hii nchi kwa kulazi.isha kutawala wakati wamezeeka?Nchi yetu sote hii.
 

Kuna ugonjwa fulani wana ccm wanaugua ambao bado haujajulikana
 
Wavumilie muda wao wa kutawala bado maana hawana jipya zaidi ya ku copy na ku paste kutoka chama tawala.

Niambie lini wapinzani walisimamisha mgombea awe rais au ubunge hana chembe chembe za chama tawala?
Kwani wewe ulishushwa toka mbinguni huna chembechembe za wazazi? Unadhani kabla ya mfumo wa vyama vingi watu walikua hawafanyi siasa? Na kama walikua wanafanya watitumia chama gani?. Chembe si hija, hoja ni maono na dhamira mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalizo Jema ila Lina chembe za UNAFIKI na U-CHAMADOLA, ukipigania AMANI lazima USIMAMIE HAKI , sasa unaposema vyama vya upinzani una maanisha nini?, kwa nini usiseme vyama vya siasa kiujumla ?, Mpaka uanze kuweka mafungu na wengine kuwasisitiza kwa kumpendelea MBUZIJIKE?, kwani kati ya wapinzani waliozuiwa kufanya Siasa huru kwa kuzingatia mipaka ya kisheria na Huyu mpambana na MABEBERU Aliejipa uhuru yeye na genge lake ni nani MCHAFUZI WA HAKI?, ama hajui kama kuchafuliwa haki ndio chanzo cha kuchafuka AMANI?. HITIMISHO:
Unapo toa angalizo kwa Maslahi ya Taifa kuwa MZALENDO na msingi wako uwe ukweli. Kama kuna ki-MbuziJike unakiogopa bora Ukae kimya kuliko kutoa ushauri ambao bado una ubaguzi ndani yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…