Mzee Sumaye ameponzwa na Kubenea

Mzee Sumaye ameponzwa na Kubenea

Mchora katuni wa gazeti la HABARILEO kumbe hata taaluma ya uchoraji hana. Haki ya Mungu muwe mnaleta vitu kama hivi tujionee maana haya magazeti ya UHURU na HABARILEO sijawahi kuyasoma katika maisha yangu...Natamani kumfahamu na mchora katuni wa UHURU..Mimi nawajua Said Michael na Masoud Kipanya
Anarudi analia eeh...........
FB_IMG_1575424751050.jpeg
 
Umejitahdi. Japo bado hujaijua Chadema, wanachadema. Na bado huwajui wote uliowataja.
Hivi Leo Komu anayemjua vizuri Mbowe...ngoja niweke kituo
Fuatilia vizuri taarifa mkuu, kwanini kubenea na Komu waitwa wakajieleze kwenye kamati kuu? Unajua sababu? Jaribu kufuatilia mambo ndani ya Chama chako.
 
Mbowe gupo tayari chadema ife kwenye mikono yake lakini suo kumuachia mwingine,
Sumaye nayeye anajidhalilisha kushindana na watoto.alitakiwa apumzike tu.
 
Itakuwa ni uvivu wa kufikiri kumwachia mtu watoto ilhali mtu huyo analishwa na adui yako.
Sumaye ni susla la muda, huyu ni mccm pure huko snazuga tu
Au Sumaye amekuwa kama wale vibibi wa Shinyanga wanaoambiwa ni wachawi halafu wanamalizwa kisa wana macho mekundu!
Nadhani tangu Lowassa arudi home, Sumaye naye anaonekana mchawi tu na wengi hapo Ufipa.
Mzee atambue kustaafu sio mwisho wa maisha, afanye maamuzi tu.
 
Kuendesha chama cha siasa tena cha upinzani ni kazi kubwa sana!

Mamluki ni wengi mno!

Mbowe is not a slouch!
 
Mimi ni mfuasi wa mabadiliko hili suala la kusema Mbowe hana mpinzani haliniingii akilini "Mbowe must go" kile ni chama cha wanaharakati iweje mtu mmoja ang'ang'anie nafasi hiyohiyo kila siku
 
Mwambe na timu unayoitaja wana akili sana; wanajua mbowe anavyo tafuna michango yao kwa mgongo wa chama.
 
Sio tu kutomaswa, ni risasi na kutekwa na wasio julikana
Hutaweza kupandikiza migogoro kwenye chama cha CHADEMA, mambo hayo huwa mnayafanyaga huko kwenu. Kama huko kwenu CCM mna demokrasia na wewe ni mwanaume kweli chukua fomu ya kogombea Urais uone utakavyotomaswa tomaswa.
 
Chadema sio ACT wazalendo ni chama kikuu cha upinzani kinachojiandaa kutwaa madaraka.
Kwa vyovyote hakiwezi kukosa watu wanaokiombea mabaya.

Misuguano ndani ya chama ni jambo la kawaida,hata CCM inayo misuguano mibaya sana inayotishia ustawi wa CCM yenyewe kuelekea uchaguzi mkuu 2020.

Mbowe anapitia machungu mengi kama Mweyekiti.
 
Wana Chedema, nielimisheni. Neno MSALITI kwa kugha yenu ya kichama na mtu wa aina gani?

Shukran
CHADEMA hawajui hata maana ya hili neno. Maana unaweza kuwa msaliti mwezi January ukawa Kamanda mwezi February. Kuna jamaa kasema vizuri kwamba Mbowe ni kiumbe pekee aliyejaliwa kumiliki misukule bila kutumia uchawi.
 
Hayo ya CHADEMA ni yao wenyewe tuwaachie watajuwa jinsi ya kuyamaliza. Ila ni wakati muafaka sasa wa huyu mheshimiwa kumuandaa mrithi wa nafasi yake ya uenyekiti - Nadhani huyu aliyejitolea kugombea nafasi ya umakamo akiwa ughaibuni anatosha.
 
Huyu sumaye nimeaza kuelewa kwann,Ben alimuita/MPA jina a.k.a Mr ZERO.naona kunapicha inakuja
 
Mwanaume kweli hapa umeshusha nondo. Hivi iliwezekanaje mtu kama Sumaye akawa waziri mkuu nchi hii kwa miaka 10?????? Imagine mtu ameshindwa vibaya then eti kama kuna chama kitamuhitaji kwa ushauri wake yuko tayari!!! Ushauri gani mzuri atatoa wakati he is heroic failure!!!
 
Hutaweza kupandikiza migogoro kwenye chama cha CHADEMA, mambo hayo huwa mnayafanyaga huko kwenu. Kama huko kwenu CCM mna demokrasia na wewe ni mwanaume kweli chukua fomu ya kogombea Urais uone utakavyotomaswa tomaswa.
Kama alivyotomaswa Lowasa 2015
 
Back
Top Bottom