Uchaguzi 2020 Mzee Sumaye ahoji wapi alipo Mbowe katika kampeni za Lissu

Jamaa baada ya kichapo anarudi ulaya, maana kichapo kipo palepale. Lissu ataleta mabadiliko Cdm? Wapambe wa Lissu mtaumia sana.

Kwa taarifa yako hakuna mwenye tatizo la kushindwa kihalali, maana hiyo ndio kanuni ya ushindani. Ila sio kwa ushindi wa kimagumashi.

Lisu atarudi ulaya kwa ajili ya matibabu yake maana utaalamu huo hapa kwetu bado sana. Na hata kama hapa ingekuwa wanaweza kumtibu, hatuna imani kwa matibabu ya shambulizi alilopata. Hana yoyote wa kumuogopa hapa nchini.
 
Uhalisia nikua kamati kuu haikuana mpango na Lisu wao walimtaka Nyarandu kwakua alisha jipanga katika swala la fedha za kampen. Walipo ona kuna shinikizo kutoka kwa wanachama wakaonaona isiwe tabu wamwachie Lisu msala alafu wao wa mute. Wanajua Lisu hawezi kutoboa na ndicho kinacho tokea
Akili mandazi na reasoning za kizwa-zwa.

Lissu anazunguka mameneja wake wa kampeni na team yake maalumu ya kampeni , Mbowe sio mmoja kati ya timu husika as kila mtu amepangiwa majukumu yake kulingana na nafasi yake.
 
Kwa taarifa yako hakuna mwenye tatizo la kushindwa kihalali, maana hiyo ndio kanuni ya ushindani. Ila sio kwa ushindi wa kimagumashi.

Lisu atarudi ulaya kwa ajili ya matibabu yake maana utaalamu huo hapa kwetu bado sana. Na hata kama hapa ingekuwa wanaweza kumtibu, hatuna imani kwa matibabu ya shambulizi alilopata. Hana yoyote wa kumuogopa hapa nchini.
Kwa kazi alizofanya JPM unategemea kuwe na kura za dhuluma? Wananchi wanataka matokeo chanya na wameyaona.
 
Kwa kazi alizofanya JPM unategemea kuwe na kura za dhuluma? Wananchi wanataka matokeo chanya na wameyaona.

Dhuluma sio tunahadithiwa bali tunaziona. Hayo unayoita matokeo chanya nia yale ccm iliyoyahubiri, na sio wananchi waliyoyahubiri. Kuwanyima wananchi nafasi ya kuongea matamanio yao, kisha yale unayoyaona ww ni ya maana, hayakupi ww nguvu ya kutamba ni matokeo chanya kwa matarajio ya wananchi.
 
Kama ushacheza ama kushiriki kamari ya karata tatu. Hili halikupi tabu..kunywa bia maisha yaendelee......
 
Huyu zuzu bwana shamba by profession kwanza arudishe heka mamilioni za watu...
Yanamuhusu nn yeye si alikataliwa akakimbia !!
Huu ni uchangu wa kisiass





QUOTE="fazili, post: 37118206, member: 45809"]
Sumaye aache umalaya

Sumaye aache umalaya wa kisiasa.
[/QUOTE]
 
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.

Kwani Mbowe anagombea Urais wa Tz au ni ubunge wa hai?
 
Malaya wa kisiasa huyu! Kwani hajui kama Mbowe yuko kwenye kampeni jimboni kwake?
Masikini Sumaye, kweli pili pili ya Chadema ni kali jamani...inawawasha hata wasioila.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi

Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=

Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.

Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.

Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.

Haki huinua TAIFA

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kweli hicho ndicho kilichopo kichwani mwa Sumaye ili kuiombea kura CCM?
Aliyempa jina la zero huenda hakukosea kabisa. Sumaye ana very low political IQ.
 
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.

Mbona waziri jaffo hakuwepo hapo jukwaani. Au kigwangwala.
 
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.

Jinga hili halijui kuwa Mbowe yuko katika kampeni za Ubunge Hai.
 
Waziri Mkuu Mstaafi Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.

Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema ndani ya saa 72 zijazo, mgombea wao wa Urais, Tundu Lissu anakwenda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mbowe ametoa kauli hiyo leo Jumapili Oktoba 25 katika mji mdogo wa Bomang'ombe wilaya ya Hai wakati akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni huku akisema Mungu akipenda, yeye anakwenda kuwa Waziri mkuu.

Hata hivyo, Mbowe ambaye pia anagombea ubunge jimbo la Hai, alitahadharisha kuwa kitendo chochote cha kuwazuia mawakala wao 80,160 nchi nzima wasiingie kwenye vituo vya kupigia kura Oktoba 28, kunaweza kubadili historia ya Tanzania.

Hivyo, aliisihi Tume ya Taifa ya Uchaguzi na vyombo vya Usalama, kuhakikisha hakuna jaribio lolote la kuwazuia mawakala wao kuingia kwenye vituo kusimamia upigaji kura na wao watakuwa tayari kukubali matokeo kama uchaguzi utakuwa wa huru na haki.

"Uchaguzi huu sio kati ya Chadema na CCM wala uchaguzi huu sio kati ya Lissu na Magufuli (mgombea urais wa CCM) bali ni kati ya wanaopenda uhuru na haki na waliokandamiza uhuru na demokrasia," alisema Mbowe.

Mbowe amesema wamezunguka mikoa yote ya Tanzania na wananchi wapo tayari kufanya mabadiliko ya uongozi na kusisitiza kuwa kwa mwonekano na hamasa waliyoionyesha Watanzania, Lissu anakwenda kuwa Rais ndani ya saa 72 zijazo.

Hivyo, ameitaka NEC kuhakikisha uchaguzi huu hauvurugwi kwa namna yoyote kwa sababu gharama yake itakuwa kubwa na kusisitiza kuwa wako tayari kukubali kushindwa kama NEC na vyombo vingine vitahakikisha uchaguzi umekuwa wa wazi, huru na haki.
 
Jinsi gani huyu mtu mpumbabu hoja gani ya kijinga hii.aache kufanya kampeni kwake.akili matope kampeni ya LISSU katika maeneo mbalimbali ni zaidi magufuli+Samia+majaliwa
 
Back
Top Bottom