Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
We unaongea nini? Tanzania ipo huru wala hakuna mkoloni.. Uhuru na haki gani unaoutaka? Mbona nchi ipo huru na watu wanafanya mambo kwa uhuru,haki gani unayotaka? Maana kama ni haki watu wanapatiwa haki zao. Japokuwa kuna idara kama polisi na mahakama zina dosari kidogoWapambe wa kaburu Mkoloni mweusi ndiyo mtaumia sana pindi mtukufu akirejea kijijini chato pindi Nchi ikiwa imepata uhuru upya na kutawala kwa misingi ya HAKI