Kifuniko
Member
- May 20, 2011
- 97
- 17
kwa wale mliosoma Old Moshi -PCM mnamkumbuka babu seleki aliekua mwalimu wa Adv Maths, yule mzee alikua kichwa sana, alikua anakuja bila any reference paper mwanzo form 5 mpaka form 6 anafundisha kwa kichwa kuanzia notes na mifano yote na majibu yake, aisee kila nikimkumbuka yule mzee sipati picha kabisa kwa ujumla alikua na kipaji maalum cha hisabati , alikua hapandi gari kuja kazini na anatokea mbali na very rare anaingia ofisini yeye ni home class akitoka ni ananyooka home, wanaomkumbuka wamwage kumbukumbu hapa