Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
Heshima mbele wanajamvi.
Rais wa awamu ya pili mzee A H Mwinyi maarufu mzee Ruksa atakutana na wanahabari leo nyumbani kwake kuzungumzia maendeleo na majukumu ya kamati iliyoundwa na NEC ya chama cha mapinduzi kufuatilia mienendo ya baadhi ya wabunge wa CCM wanaoishambulia serekali ya chama cha mapinduzi ndani ya bunge na nje ya bunge.
Ikumbukwe katika kikao cha CC na baadae NEC spika wa bunge la JMT mheshimiwa Samwel Sitta alishambuliwa na baadhi ya wajumbe kwa kuongoza vikao vya bunge kuizalilisha serekali ya chama cha mapinduzi.
Source: Jambo Afrika TBC1.
Rais wa awamu ya pili mzee A H Mwinyi maarufu mzee Ruksa atakutana na wanahabari leo nyumbani kwake kuzungumzia maendeleo na majukumu ya kamati iliyoundwa na NEC ya chama cha mapinduzi kufuatilia mienendo ya baadhi ya wabunge wa CCM wanaoishambulia serekali ya chama cha mapinduzi ndani ya bunge na nje ya bunge.
Ikumbukwe katika kikao cha CC na baadae NEC spika wa bunge la JMT mheshimiwa Samwel Sitta alishambuliwa na baadhi ya wajumbe kwa kuongoza vikao vya bunge kuizalilisha serekali ya chama cha mapinduzi.
Source: Jambo Afrika TBC1.