Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,370
- 3,148
Eid Mubarak kwa wanajukwaa wote
Hakuna mtanzania anayejielewa ambae hamjui mzee wetu Alhasan Mwinyi ambaye anayoheshima kubwa ndani na nje ya nchi yetu hii pendwa
Nimepatwa na mfadhaiko mara baada ya kuona kwenye vyanzo mbalimbali vya habari vikiripoti kwamba mzee wetu angetamani Raisi John Magufuli atawale milelele ila katiba inamkataza.
Ukisema mtu atawale milele nikwamba hata akiwa hayupo kivuli chake kitakuwepo(utawala wa kifalme kwa mtazamo wangu)
Mzee wetu anaendelea kutia tiki ule utafiti wa TWAWEZA uliowasilishwa sikuchache zilizopita maana wazee,wanawake na wale wasiokua na kiwango kikubwa cha elimu wanaunga mkono utawala uliopo
Angesema mwingine ambae hajui ladha,majukumu ya uraisi nisingepata ukakasi sana.Hata kuna wananchi kibao wametoa maoni kama hayo lakini sijayapa uzito wowote kwani ninajua wanaongeaongeatu bali mzee wetu hatutarajii afike huko.
Mzee wetu ninakushauri ufiche hisia zako kwani zina madhara makubwa kwa taifa letu.Lipo kundikubwa la watu linakuheshimu,kukutegemea na kukuamini
Kauli yako sio mbaya sana kama ingesemwa hata na Kinana kuliko we we
Nakuombea msamaha babu najua umeteleza
E i d M u b a a r a k
Hakuna mtanzania anayejielewa ambae hamjui mzee wetu Alhasan Mwinyi ambaye anayoheshima kubwa ndani na nje ya nchi yetu hii pendwa
Nimepatwa na mfadhaiko mara baada ya kuona kwenye vyanzo mbalimbali vya habari vikiripoti kwamba mzee wetu angetamani Raisi John Magufuli atawale milelele ila katiba inamkataza.
Ukisema mtu atawale milele nikwamba hata akiwa hayupo kivuli chake kitakuwepo(utawala wa kifalme kwa mtazamo wangu)
Mzee wetu anaendelea kutia tiki ule utafiti wa TWAWEZA uliowasilishwa sikuchache zilizopita maana wazee,wanawake na wale wasiokua na kiwango kikubwa cha elimu wanaunga mkono utawala uliopo
Angesema mwingine ambae hajui ladha,majukumu ya uraisi nisingepata ukakasi sana.Hata kuna wananchi kibao wametoa maoni kama hayo lakini sijayapa uzito wowote kwani ninajua wanaongeaongeatu bali mzee wetu hatutarajii afike huko.
Mzee wetu ninakushauri ufiche hisia zako kwani zina madhara makubwa kwa taifa letu.Lipo kundikubwa la watu linakuheshimu,kukutegemea na kukuamini
Kauli yako sio mbaya sana kama ingesemwa hata na Kinana kuliko we we
Nakuombea msamaha babu najua umeteleza
E i d M u b a a r a k