Mzee Mwinyi asamehewe kwani ameteleza

Mzee Mwinyi asamehewe kwani ameteleza

No matter how good the guy is, miaka 10 maximum inamtosha. Kuwaza kwamba anapaswa kuwa "rais wa kudumu" ni dhihaka na dharau kwa Watanzania wengine wote.

Magufuli anapaswa pia kutusaidia kujenga institutions imara. So far ni kama one man show. Akichomoka leo, anaweza kuja Rais mpya na mitazamo yake tofauti kabisa na hakutakuwa na sheria za kumbana.
 
Hayo ni maoni yake mzee Mwinyi kwani kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo ili mradi havunji sheria, sasa watu mnapayuka payuka nini kumlaumu mzee wa watu, semeni yenu.
 
Amesema anatamani!kuna kizuri kakiona kwa mtawala wa sasa! Ni wishful thinking hakuna shida hapo !
Kwani hujui watoto wake wamepewa nyadhifa kubwa kubwa na Magu? kwa nini asitamani atawale milele mtu anaiweka mjini familia yake
 
utaratibu 10 islam, 10 kristo sasa huyu mzee anaposema ivo sie ndugu yake katika imani anatufedhehesha kweli.
faiza Foxy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom