Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

Character X

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
331
Reaction score
382
Great day Comrades,

Leo nimedhani kuwa wakati muafaka kuandika kuhusu hili. imenichukuwa muda kwakweli, kukusanya ujasiri wakuandika haya hasa kwa heshima ya mtu ambaye nina panga kum address, na influence ninayoiona anayo kwa watu katika mitandao hii.. kum address hasa katika namna ya kujaribu kuubadili au kuukosoa mtazamo wake au kubadili approach yake kwa mambo, inahitaji confindence in ones own believe, and in the ability of the one you are addressing to sieve through your argument and pick out the insights put forward at the end of the day rather than pick up a fight.

Nimesoma posts zako nyingi, nyingi nikikubaliana na mtazamo wako kuhusu mambo husika lakini kadhaa nikitofautiana nawe kidhana (ideally or in concept), na wakati mwingine nikitafautiana nawe katika approach tu hakika.

Wakati wa rumors za usaliti wa ZZK, na kesi yake dhidi ya chama na hatimaye kufukuzwa uwanachama. wakati wa mtikisiko juu ya kesi ya kubambikwa ya kamanda Lwakatare na wengine hadi ushindi wetu kama chama katika hilo, na sasa wakati huu wa ujuio wa lowasa chadema, zote nyakati ngumu kwa movement hii, lakini kwote umetoa mawazo yako na hakika umekua mchango mzuri katika kutoa leadership kwa watu wetu... again, whether always right or sometimes wrong si swala sana, kimsingi you have always offered leadership, leadership ambayo watu wakiikosa hutoa hisia zao vinginevyo (na hatari ya husambaratika hua more real)

Nyakati zote za changamoto katika movement yetu ya mabadiliko kwa taifa letu watu wamekuwa wakitafuta uongozi kutoka kwa watu mbali mbali, wakati mwingine Uongozi rasmi wa chama kwamaana ya wenyeviti na makatibu and the like kimkakati na kisiasa wanakua si watu sahihi kutoa mawazo yao kuhusu maswala flani, umefanya vyema mara zote kuwa mstari wa mbele kutoa mawazo yako na mtazamo katika hali hizo ngumu na kwakufanya hivyo kuwapa watu the leadership they needed. Narudia whether leadership towards the positive or leadership towards the negative sihoja sana.


lakini Ilikufupisha bandiko hili, ninaomba kuzungumzia suala hili tulilonalo sasa. Baada ya kumpokea waziri mkuu wa zamani ndugu Edward Lowasa kukaribishwa UKAWA na kupokelewa na Chadema kama mwanachama na huenda kama mgombea uraisi kwa chama chetu yapo mengi yanayo zungumzwa.

kilichonifanya kukosa uvumilivu na kunibidi kutafuta ujasiri waku kuandikia waraka huu "wawazi" ni mtazamo uliyo uweka wazi ukiuita "Msimamo" wakutokukubaliana na move ya lowasa kuja ukawa/chadema na kugombea uraisi, ukizungumzia swala hili kama kuwatupa makamanda wako wa vita wa zamani kwasababu ya makamanda wa adui uliowateka.

while agreeing with this stand in principle, am afraid i differ with you in value. nina jua wewe umeelewa, ila wengi hawajaelewa, nitaelezea;

Wewe ni mtu mwenye influence kwenye jamii ya mitandao hii, maranyingi mtazamo wako una infulence mitazamo ya wengine wengi. in other words you are a leader!.. na nivizuri ulifahamu hili., i dont know you in person, hivyo sijui wewe ni nani hasa, na kama unacheo chauongozi au lah,(possibly adding my confidence:redface🙂 lakini hiyo haijalishi. Just by virtue of having the influence that you have on the public you are a leader! and you should know that!

Now there is a difference between a leader and a manger., and i know you know this. as a leader you are visionary, you look at the bigger picture, you influence and inspire unity towards the main target, yours are the policy issues, the corporate level affairs, you work to remind the people of the greater picture, the greater good. when people are overwhelmed by the emotions (positive or negative) energies that arise from events of the daily affairs of the corporate life, you remind them of what actually we are fighting against, who really is the enemy, leaders bring people together! leaders do not work to divide! leaders maintain the focus of the people! kiongozi na uvumilivu nivitu ambavyo huwezi kuvitenganisha, wakati mwingine kiongozi atayaona mambo yakifanyika tofauti na vile ambavyo anafikiri kuwa sawa, lakini kiongozi atatafuta kuangalia nini anataka watuwake wajifunze kutokana na yanayo tokea.. a leader is not a superintendent wakati mwingine you give room for error because you know that people learn from errors, and there is always a good side in every situation because you can learn. Mara nyingi nimekua nikipenda katika kuzungumzia kwangu tabia za viongozi kutumia kamsemo haka kwamba "wakati mwingine inambidi kiongozi kutafuna pilipili huku akitabasamu"

Kwahakika, inawezekana kabisa kukawa na kiongozi wa cheo (a leader by position) katika institution au jamii flani, lakini wakikaa mathalan kwenye kikao actually asiwe kiongozi pale, anaweza kuwa ndiye mwenye cheo pale, lakini si aliye kiongozi pale, kwanini??? kwasababu huenda yupo mulendani ambaye hana cheo lakini kwa influence aliyo nayo kwa wajumbe wenzake.. yeye ndiye hasaa kiongozi mule ndani.. ana influence mawazo ya wajumbe wenzake.. na wote wanamsikiliza., wanamuamini., wewe nikiongozi kwa influence uliyo nayo.

now because you are a leader! kwanza litambue hilo.

Pili, Sikatai mtazamo wako kuhusu kuto kukubaliana na kuja kwa lowasa na kupewa kugombea uraisi. sikatai wewe kuwa na msimamo wako., lakini ninadhani kwakua unaifahamu nafasi yako, nivyema ukakumbuka lengo kuu, ukakumbuka the real enemy ni nani., ukakumbuka what the vision has always been., ukajiuliza has it been to put someone in power?? or to keep the chadema idea only to the chosen ones and branding some of those that were not with us just not fit to take part in this movement for change??? or has it been kupambana na CCM na kuing'oa madarakani?

Which of the two is the bigger picture?? ukipata majibu ya hayo nimuhimu sana!! sana!! kuhakikisha kwa nafasi yako unainfluence kundi la wale wanao kusikiliza towards oneness, towards the purpose., muhimu kujiuliza je comment yangu kwakua nina influence inawapeleka wapi watu unao waongoza?

Hatakama msimamo wako ulikua wa dhati kabisa, kwamaana yakuwa ndivyo unavyo amini kabisa ndani ya moyo wako, kwamba tunakosea sana kuchukua kamanda wa maadui tuliye mteka na kumpa nafasi kuongoza hukutuki mrelief kamanda wetu wenyewe tuliye kuwa naye wakati wote wa mapambano. kwamba hii sio sawa katika mazingira yoyote!

Well, that may be what you really feel, and its not my intention to talk you out of that belief, lakini.. hapa ndipo unapotakiwa kuhakikisha the leadership that you give to the people that you have influence over is not just ANY KIND of leadership but the right leadership. A positive leadership!!! leadership towards achievement of the greater goal.,!!! making sure you influence them to see the bigger picture!! keeping the team together!

kiongozi hasemi tu hisia zake iliwatu wasikie anavyojisikia kuhusu jambo flani, no! unasema kwa lengo!

Mawazo yako yanayoweza kuvunja umoja wa jeshi lako hatakama ni mawazo ya dhati kabisa na mawazo sahihi kwa mtazamo wako ila hayawezi kutoa a positve leadership to the poeple in approaching towards the greater goal, hayafai kusema!!

ndiyo maana watu flani husema "If you think what you you have to say is not anything positive,keep it to yourself"

Muhimu sana kuzingatia hili kama kiongozi, its not about hisia zako binafsi really. na hii imfikie na Zitto Zuberi Kabwe!! maswala ya kuja na misimamo na conditions za azimio la tabora ilikujiondoa kwenye umoja halafu tunadai eti tunataka ukombozi wa dhati wa Nchi hii kutoka mikononi mwa CCM nadhani ni kuwa very self destructive!!! muhimu sana wote tukazungumza lugha moja! tukapigana vita moja!!

Mimi nadhani wakati kama huu ni wakati ambao movement yetu iko at the vulnerable stage, tumekaribia sana kufikia lengo letu kuu,.- kung'oa CCM. lakini style ambayo nguvu hii ya kumpiga adui imepatikana huenda ikashababisha maumivu kwa wenzetu wachache! na niseme tu itawaumiza tu wale ambao watashindwa kutazama the bigger picture!!

Nina mpongeza sana Mr. Freeman, anafanya kazi nzuri, uwezo wake wakuwaongoza watu towards whta the next right move is hauna mashaka.

ninawaomba sote!, akiwemo ndugu yetu daktari (wa filosofia) W. P Slaa ambaye juzi tu niliandika uzi mwingine niki acknoledge uwezo wake mkubwa na kumuomba asikubali kupandikiziwa hisia negative za retaliation na kuzira na nini ambazo zinapandwa na hao hao wasio itakia mema movement hii (ambao ni CCM hao hao)

Naniwaomba sote ambao tuna influence kwanamna flani hatakama ni kwa mtu mmoja tu mwingine, let us influence them positively!!!

lengo kuu hapa ni kuing'oa CCM.!!!! Mzee Mwanakijiji baada ya yote tuliyo yapitia katika mapambano haya! napenda kuamini hatutakuwa tena sababu ya kutukwaza kufikia lengo letu kuu- kuing'oa CCM!!

ikumbukwe; Siasa niupepo! watu tunaowapa matumaini kila mwaka wa uchaguzi kuwa ushindi unawezekana CCM inang'ooka!! halafu uchguzi unafanyika tunashindwa uchaguzi tena na CCM, si wote wana mioyo mikuu na uelwa wa vita hii na wanaweza kupambana hata kama ingechukua miongo kadhaa au hata maisha yao yote katika mapambano kabla ndoto yetu haija timia, wengine wata kata tamaa., watakapo ona havitimii, kazi yetu itazidi kuwa ngumu!

Mitaani huku tunawasikia wananchi wakisema "CCM isipo ondoka mwaka huu haitakaa iondoke"

Nimeupenda msemo wa bwana mmoja niliuona humu ndani akisema "Chadema Tuna Gawana Majukumu Hatugawani Vyeo" muhimu sana kukumbuka hii.

This time we have a chance!! a real chance!! and am sayi we have a chnace NOT beacause lowasa kahamia upinzani, lakini kwasababu CCM inajibomoa yenyewe!!! nimesema let us propagate that!! wacha wapasuane kabisa!!!! tunapokwenda kwenye uchaguzi tuwamalize kabisa!!

let us not waste our energy in self destructive efforts!! adui yetu tunamjua!! lets not let them survive this last blow!

Mzee Mwanakijiji, Comrade,

Ninakushukuru Sana.
 
Tafakari kwanza what is behind Lowassa kuingia Chadema ndo uje kumshauri Mzee Mwanakijiji.

Sasa ndo naelewa kwa nini wanasema half knowledge is dangerous than total ignorance? Yani kama hii ndo thinking yenu sishangai wale walioaminishwa Gaddafi ndo mbaya na atoke na leo wanashangaa Gaddafi katoka ila yaliyowakuta ni zaidi ya hata yale waliyokuwa wanayawaza.

I feel sorry for you.
 
lengo kuu hapa ni kuing'oa CCM.!!!! Mzee Mwanakijiji baada ya yote tuliyo yapitia katika mapambano haya! napenda kuamini hatutakuwa tena sababu ya kutukwaza kufikia lengo letu kuu- kuing'oa CCM!!

ikumbukwe; Siasa niupepo! watu tunaowapa matumaini kila mwaka wa uchaguzi kuwa ushindi unawezekana CCM inang'ooka!! halafu uchguzi unafanyika tunashindwa uchaguzi tena na CCM, si wote wana mioyo mikuu na uelwa wa vita hii na wanaweza kupambana hata kama ingechukua miongo kadhaa au hata maisha yao yote katika mapambano kabla ndoto yetu haija timia, wengine wata kata tamaa., watakapo ona havitimii, kazi yetu itazidi kuwa ngumu!

mitaani huku tunawasikia wananchi wakisema "CCM isipo ondoka mwaka huu haitakaa iondoke"

This time we have a chance!! a real chance!! and am sayi we have a chnace NOT beacause lowasa kahamia upinzani, lakini kwasababu CCM inajibomoa yenyewe!!! nimesema let us propagate that!! wacha wapasuane kabisa!!!! tunapokwenda kwenye uchaguzi tuwamalize kabisa!!

let us not waste our energy in self destructive efforts!! adui yetu tunamjua!! lets not let them survive this last blow!

Mzee Mwanakijiji, Comrade,

Ninakushukuru Sana.

Thank you so much for your good insights on the issue. I totally agree with you that "LENGO LETU KUU NI KUIONDOA CCM" and this is an opportunity we have to take. And for sure, if we let this opportunity goes without utilize it, then, we have to forget about winning against CCM in the near future.

It seems to me that MM doesn't understand the theory of dynamic, especially in politics. I hope he will undestand now after reading your concerns and with regard to situation on the ground.

Thanks and stay blessed.
 
Mimi nashukuru kwa kuona machango wa Mzee Mwanakijiji. Pia, umejihadi sana kuelezea sifa za mtu ili awe kiongozi. Zote lazima zionekane ndani ya taasisi zetu pamoja na kila mmoja ndani ya taasisi. Si kazi ya mtu mmoja. Si kazi ya mmoja kusema ukweli mwingine afumbe macho, eti kwa sababu kuna lengo fulani la kulifikia hata kama njia ni ovu.

Ujue kuwa ndio inakuja kwa watu wengi. Hawana majibu ya moja kwa moja juu ya kinachoendelea. Visionary wanaona unsaitanable project is going to be launched. Hawajui hatima ya haya. Baada ya hapo, hawaoni mradi kama utakuwa sawa na ulipokuwa umeanzia. It is very clear in any analytical point of view, it is killing project.

Hii si haja ya wengi kufumba macho ili mwisho walaumu, ila ni kusema ukweli ili wakaseme tulisema. Tusije tukabashiri juu kinachoendelea.

Nguvu tuliyonayo, ndio imemshinda adui dhaifu.
 
Wapinzani wanao pay lip services only kwa upinzani lakini moyoni ni CCM, utawajua tuu siku mkikaribia kando ya mto ili kuvuka lile daraja kwenda kuchukua ushindi!, hao watakataa kuvuka kwa kutoa visingizio vyovyote vya kuogopa maji, hawajawahi kupanda mtumbwi, au hata kuogofya nahodha wa mtumbwi wa kuwavushia etc, ndio maana kuna huu msemo wa kwenye msafara wa mamba, na kenge wamo!. Wakati wa msafara, huwezi kutenganisha watoto wa mamba na kenge, they all look the same!, ila mkifika mtoni ndipo watalazimika kutengana, mamba wataingia majini, kenge wataishia ukingoni!.

Wewe kama hili ulilijua leo, sisi wengine tulilijua tangu enzi zile za kuundwa kwa CCJ!.

Pasco
 
Mzee Mwanakijiji yupo sahihi kutokukubaliana. Ni mtu mwenye maadili. Ni nyie wezi wachache ndiyo mtakubali huu uchafu wa Mbowe.

Na kingine Kwa sera ya UKAWa ya kusema wanataka kuondoa CCM ni moja ya kitu kijinga kabisa kwani CCM watapata kitu cha kuongelea. In short UKAWA wamebugi. This is the greatest downfall of a political party. Na Kwa wanavyosema huu mpango umeratibiwa na Apson akishikiana na akina Mabere Marando bila CHADEMA kujua, na ndipo mtakapotambua ubaya wa system.

CCM chini ya mtu mwadilifu Magufuli wanayo nafasi ya kujijenga. Kumbuka kipindi cha Benja CCM iliimarika, ni kipindi hiki tu cha JK aliyeingia Kwa rushwa tumeona upinzani unakomaa, ila naamini JK aliliona hilo ndiyo maana akamtosa Lowassa.
 
CCM Ni Chama Dola!
Hayo mengine yooote ni porojo tu na matukio ambayo yatapita kama mengine mengi tu yalivyopita lkn mwisho wa siku Bw.Pombe Magufuli ndiyo raisi ajaye wa JMT na zaidi ya 3/4 ya Bunge lijalo litaundwa na CCM!

Kwa kukumbusha tu Wakuu wa Mikoa wote ndiyo Maraisi wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya wote ndiyo Maraisi wa Wilaya na hakuna linalofanyika Wilayani kwake bila idhaa yake, Tume ya Uchaguzi iko chini ya Serikali ya JMT na Kiongozi wake anaweza kufukuzwa au kuhamishwa muda wowote ule na Raisi wa JMT, Matokeo ya Uraisi wa JMT hayapingwi kwenye Chombo chochote kile halali TanZania, na mwisho na labda la muhimu kuliko yote Raisi wa JMT ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa!

Usisahau pia wafadhili Lowasa kama akina Mengi, Rostamu ni moja kati ya wadaiwa sugu wa Serikali ya JMT!

Sasa kama Lowasa ana uwezo wa kuivusha CHADEMA kwenye vihunzi vyote hivyo basi atakuwa Raisi wa JMT hapo 2016!
 
Mzee Mwanakijiji yupo sahihi kutokukubaliana. Ni mtu mwenye maadili. Ni nyie wezi wachache ndiyo mtakubali huu uchafu wa Mbowe. Na kingine Kwa sera ya UKAWa ya kusema wanataka kuondoa CCM ni moja ya kitu kijinga kabisa kwani CCM watapata kitu cha kuongelea. In short UKAWA wamebugi. This is the greatest downfall of a political party. Na Kwa wanavyosema huu mpango umeratibiwa na Apson akishikiana na akina Mabere Marando bila CHADEMA kujua, na ndipo mtakapotambua ubaya wa system. CCM chini ya mtu mwadilifu Magufuli wanayo nafasi ya kujijenga. Kumbuka kipindi cha Benja CCM iliimarika, ni kipindi hiki tu cha JK aliyeingia Kwa rushwa tumeona upinzani unakomaa, ila naamini JK aliliona hilo ndiyo maana akamtosa Lowassa.

Inaonekana huelewi politics. CHADEMA wana watu makini sana, na usijidanganye kwamba wamekurupuka. Mahesabu yamepigwa tayari na majibu yanaonyesha ushindi. Wewe baki na magufuli msafi bila kutuambia ni kwa vipi taarifa za CAG zimeonyesha alidanganya Bunge kuhusu 250 TZS Billions. Lakini kuna kitu usichokijua hapa ni kwamba, kwa CCM hata uwe malaika ukishaingia kwenye uongozi basi hakuna usafi tena. Ukitaka majibu haya basi muulize Mkapa atakuambia wakati anaingia alikuwa anajulikana kama nani na wakati anatoka alikuwa nani???

Halafu hizi hadithi za Mbowe kupokea pesa za Lowasa ni bora uzipeleke Facebook au JF kwenye Jokes, kwani ni upuuzi kutuletea propaganda za kipuuzi kwenye hoja yakinifu kama hii. Lakini pia ujaribu kuangalia kama hauna uelewa kwa kile kilichoelezwa hapa, unaweza ukapita bila kuleta habari za kwenye mgahawa kwamba Mbowe kapokea 10 Billions. Kama mna data, ni kwanini msipereke taarifa kwenye vyombo husika. Hivi unajua transaction ya 10 TZS Billions inavyofanyika Bank??? Je BOT ambayo iko chini ya CCM iliidhinisha hizo pesa zinaenda kufanya nini?? Au hizo pesa Lowasa anazitunza kwake?? Hebu kuweni na fikra sahihi na muachane na hizo hadithi za kwenye gahawa za akina Lizaboni. Sisi sio watoto na wapumbavu kama mnavyofikiria.
 
hongera mtoa mada umejitahidi kwa kuongezea:

nilijaribu kumpa jawabu kwa kifupi kutokana na mashaka yake katika mada yake hapa nitampa methali na nyongeza ya maneno;

1. mwanzi ulisalimika kwa tufani kutokana na unyumbufu wake, lakini mwembe ulivunjwa na kung'olewa katika tufani hiyo kutokana na uimara wake.

2. Katika mipango ya medani iko mipango mkakati aina tatu (hili ndugu yangu MM analitambua vema). mipango ya muda mfupi, kati na muda mrefu. Upinzani kama upinzani unahitaji jumla ya miaka isiyopungua ishirini na tano mpaka hamsini kufikia lengo la kati na kuota mizizi katika jamii alau sasa ni miaka 23 kuna jambo limeweza kujikita katika nyoyo za baadhi ya watu na ndio wenye msimamo huo kama wa ndugu yangu MM. Lakini je ni wangapi walio na msimamo huo? je ni wangapi mtaani wanakubaliana na hali ya aina hiyo? bado safari ingaliko mbele hapo ndipo unapopaswa kutumia chochote ili kumalizana na adui kwa muda mfupi huku plan b na c zikiwa mkononi. aidha unaweza "kupoteza kukubwa ama ukapata kilichokithiri." kama mwanadamu yeyote hakuna ambae huifikiria hasara, ndio maana tunanunua magari bila kuamini yatapata ajali na kutofaa tena ama kututia vilema kama si kutuondolea maisha.

Baada ya kuyasema hayo ndio maana siku zote nikisisitiza umoja na si utengano ubinafsi wa aina yoyote ni kikwazo katika hili na mambo yeyote mengineyo. Mtu yeyote makini hapaswi kuogopa changamoto mpya bali kuwa na utatuzi wake katika kiwango bora.

wakatabahu

Mwanamageuko
 
Kiukweli ni kama vile Mwanakijiji alikuwa anataka Slaa areact negatively na kutokee mtakafaruku ili aprove point yake (mafahali wawili hawakai zizi moja).
Sijawa fun wa Lowasa lkn nataka mabadiliko kwa nguvuu zote.
Ni kweli angekaa kimya tu kama kweli ni muumini wa mabadiliko. Alisha weka record clear kuwa hayuko in favor of Lowasa kuongoza lkn haikuwa vyema kuchochea au kupandikiza mawazo ya kugombania uraisi btn sio tu Lowasa na Slaa lkn pia wafuasi wao. Haikuwa busara kbs kwa mtazamo wangu. I could take it from watu wengine but not him.
 
Mzee Mwanakijiji yupo sahihi kutokukubaliana. Ni mtu mwenye maadili. Ni nyie wezi wachache ndiyo mtakubali huu uchafu wa Mbowe. Na kingine Kwa sera ya UKAWa ya kusema wanataka kuondoa CCM ni moja ya kitu kijinga kabisa kwani CCM watapata kitu cha kuongelea. In short UKAWA wamebugi. This is the greatest downfall of a political party. Na Kwa wanavyosema huu mpango umeratibiwa na Apson akishikiana na akina Mabere Marando bila CHADEMA kujua, na ndipo mtakapotambua ubaya wa system. CCM chini ya mtu mwadilifu Magufuli wanayo nafasi ya kujijenga. Kumbuka kipindi cha Benja CCM iliimarika, ni kipindi hiki tu cha JK aliyeingia Kwa rushwa tumeona upinzani unakomaa, ila naamini JK aliliona hilo ndiyo maana akamtosa Lowassa.

MMM hajatazama a big pic kama muandishi alivyoainisha??

Kinachonishangaza ni nyie watu wa CCM, leo kutuona kwamba sisi tumekosea?? Mi nahisi, kama mgeona sisi tumekosea, ilikuwa ni nafasi bora kukaa kimya, ili 25-10, muthibitishe makosa yetu!!!

Cha, kushangaza leo, CCM anatueleza njia bora ya kuweka upinzani imara!! Upuuzi gani huu???

Nani aliewahi kufungua mdomo wake wakati EL akiwa ndani ya chama chenu kumuita fisadi?? Eti leo ndio mnafata nafasi ya kusema hivyo?? Nendeni kwenye majukwaa mumuite hivyo!! Nadhani majibu atakayowarudishia hamtakaa kusahau kwa kile ninachomfahamu huyu bwana.

EL ni fisadi...sawa, ila Meremeta, EPA, Escrow, deep gereen , kiwila yooote haya ni EL aliingia au alishuudia mikataba?? Rada, ndege ya Rais?? Mbona mnataka kutuona wapumbavu?? Wapumbavu nyie wenyewe!!!

Kwa taarifa yako, subiri uone hiyo 25/10, ndio utajua
 
Wapinzani wa lip services only lakini ni CCM moyoni, utawajua tuu siku mkikaribia ushindi, ndio maana kuna huu msemo wa kwenye msafara wa mamba, na kenge wamo!.

Wewe kama hili ulilijua leo, sisi wengine tulilijua tangu enzi zile za kuundwa kwa CCJ!.

Pasco
asante kwa ufafanuzi,Mimi pia ni miongoni wa opinion followers ambao naweza tambua aina ya opinion leaders kama mwanakijiji ambao ndani wana agenda zenye manufaa yao binafsi na si ya umma
 
Thank you so much for your good insights on the issue. I totally agree with you that "LENGO LETU KUU NI KUIONDOA CCM" and this is an opportunity we have to take. And for sure, if we let this opportunity goes without utilize it, then, we have to forget about winning against CCM in the near future.

It seems to me that MM doesn't understand the theory of dynamic, especially in politics. I hope he will undestand now after reading your concerns and with regard to situation on the ground.

Thanks and stay blessed.

tuliwaamini viongozi wetu wakituongoza ktk harakati za ukombozi wa pili wa mama tanzania.... tukiielewa siku zote natunakubali "kimkakati", hiyo wasomi (?) wetu ktk harakati mnayotufundisha kuiita "dynamic"...lkn tatizo linakuja kuchanganya uadilifu halisi, uliotukuka, na ufisadi...!..lowassa anaweza kuwa ni msafi na muadilifu alietukuka, lkn aliekuwa akipika majungu ya kutuaminisha kuwa rafiki yetu wa kweli, bwana lowassa,mwokozi, na mwenzi wetu ktk harakati ni "adui yetu alie mahaba na umasikini wetu" ( pamoja na wenzie wote) wanatafsiri gani juu ya majungu, uzushi, ghilba,utapeli...ktk chama kinachohitaji uadilifu wanastahili kuwa ktk nafasi zao...! "wa mtaani hatujalala ktk harakati kama viongozi na 'wasomi' ktk chama mnavyofikiri...tunajifunza..kwa kusikiliza, kuatzama na kutafakari..."

.....
 
Thank you so much for your good insights on the issue. I totally agree with you that "LENGO LETU KUU NI KUIONDOA CCM" and this is an opportunity we have to take. And for sure, if we let this opportunity goes without utilize it, then, we have to forget about winning against CCM in the near future.

It seems to me that MM doesn't understand the theory of dynamic, especially in politics. I hope he will undestand now after reading your concerns and with regard to situation on the ground.

Thanks and stay blessed.

Mkuu, kuiondoa CCM is our target, and i have no problem with that ila kuibomoa CCM kwa kuwafanya viongozi hao hao(wa CCM) to take a lead in Opposition is!
 
Tafakari kwanza what is behind Lowassa kuingia Chadema ndo uje kumshauri Mzee Mwanakijiji.

Sasa ndo naelewa kwa nini wanasema half knowledge is dangerous than total ignorance? Yani kama hii ndo thinking yenu sishangai wale walioaminishwa Gaddafi ndo mbaya na atoke na leo wanashangaa Gaddafi katoka ila yaliyowakuta ni zaidi ya hata yale waliyokuwa wanayawaza.

I feel sorry for you.

I second you.
 
Back
Top Bottom