Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,937
- 10,815
Jamaa yangu juzi kafunga 40yrs old,
Analalama ameanza kuumwa viungo vya mwili vibaya mno, anadai miguu yake imekufa ganzi Muda MREFU unyayoni,
Analalama mwili wake wote kuwa Kuna vitu vinamchoma choma km sindano anaishia kujikuna Kuna.
Ngozi yake aina ushirikiano na mwili miguu imempauka km kenge.
Anahisi ametupiwa jini Makata je ni kweli? Karibu Mzee wa mitishamba
Analalama ameanza kuumwa viungo vya mwili vibaya mno, anadai miguu yake imekufa ganzi Muda MREFU unyayoni,
Analalama mwili wake wote kuwa Kuna vitu vinamchoma choma km sindano anaishia kujikuna Kuna.
Ngozi yake aina ushirikiano na mwili miguu imempauka km kenge.
Anahisi ametupiwa jini Makata je ni kweli? Karibu Mzee wa mitishamba