Mzee Mkapa yuko wapi?

Mzee Mkapa yuko wapi?

Katika siku za mwanzoni za awamu ya tano Mzee Mkapa alikuwa wa kawaida kuonekana hadharani na kwenye vyombo vya habari akisema na kushauri hili na lile kwa manufaa ya watanzania. Ghafla ametoweka hewani kuliko mzee Mwinyi kama vile mtu aliyeishiwa ghafla na jambo la kutushauri watanzania. Yuko wapi mzee wetu huyu sasa hivi?
Ile hotuba ya juzi lazima atajificha mpaka tumsahau labda Magufuli kawaambia wakitaka kusalimika basi wasionyeshe sura zao hovyo hovyo wamuache awakanyage katika mikutano ya hadhara. Huyu jamaa anatakiwa kufungwa na waliomfuata.
 
Wengine wakisema ukweli wanafungiwa,kwani MAWIO si walisema ukweli?
Ha ha ha ha, mkuu angalia mikono yako kama vidole vyote vipo sawa. Kwani umesahau hata nyumbani baba anaruhusiwa kurudi wakati wowote jaribu wewe. Hii ni hali ya kawaida kwa kila kona. UK manesi na madaktari wanalalamika mishahara Theresa May kawaambia tunafunga mkanda serikali haina pesa juzi kasaini mkataba na DUP na kawamegea 1b£ kusudi abaki madarakani.
 
Ha ha ha ha, mkuu angalia mikono yako kama vidole vyote vipo sawa. Kwani umesahau hata nyumbani baba anaruhusiwa kurudi wakati wowote jaribu wewe. Hii ni hali ya kawaida kwa kila kona. UK manesi na madaktari wanalalamika mishahara Theresa May kawaambia tunafunga mkanda serikali haina pesa juzi kasaini mkataba na DUP na kawamegea 1b£ kusudi abaki madarakani.
_20170705_073246.JPG
 
Magu anavyo bomoa kuta chafu atatamani kweli. Juzi tu Sengerema katema cheche khs ubinafsishaji wa viwanda Mkapa alivyo tuingiza chaka. Walitegemea Magu atafata nyayo zao wanahc kawageuka kumbe kaja kwetu walala hoi. Hii nchi isingelimpata Magu tungeliisha kabsa. Ngoja atukomboe Mara ya pili baada ya kupata uhuru na Nyerere kupumzika nchi ilirudi kwa wakoloni weusi. Walitupiga kuliko wazungu. Laiti Lowassa angeikamata nchi hii uwiiiiiiii tungerudi utumwani. JK, huenda kwa hilo tu ndo ntamkumbuka.
 
Magu anavyo bomoa kuta chafu atatamani kweli. Juzi tu Sengerema katema cheche khs ubinafsishaji wa viwanda Mkapa alivyo tuingiza chaka. Walitegemea Magu atafata nyayo zao wanahc kawageuka kumbe kaja kwetu walala hoi. Hii nchi isingelimpata Magu tungeliisha kabsa. Ngoja atukomboe Mara ya pili baada ya kupata uhuru na Nyerere kupumzika nchi ilirudi kwa wakoloni weusi. Walitupiga kuliko wazungu. Laiti Lowassa angeikamata nchi hii uwiiiiiiii tungerudi utumwani. JK, huenda kwa hilo tu ndo ntamkumbuka.
Nakubaliana na wewe kwa kiasi Fulani, lakini ukweli unabaki palepale hawezi kuibadilisha hii nchi kwa Katiba za kuwasamehe wezi kama kina Mkapa na JKikwete(Mjomba wa dada yetu FF).
 
Huyu ndo aliyetuletea hili balaa!
ha ha ha ha, balaa kama balaa. Tatizo kina Lizabon hawataki kabisa tuwaguse hawa jamaa utadhani ni miungu. Ila nadhani wanaumia sana kisaikolojia jinsi jamaa anavyowasema kila kukicha. Inaonekana walifanya la maana sana kuweka kile kipengele cha kusamehewa huyu jamaa lazima angewaweka kolokoloni siku nyingi.

Hasira za kushindwa kuwafungulia kesi zinaishia kuwasema hadharani maana anajua ni vigumu sana kushinda hizi kesi.
 
nilipishana nae kwenye mgahawa mmoja huku south so mzee hana tatzo mwachen apumzike..
 
Katika siku za mwanzoni za awamu ya tano Mzee Mkapa alikuwa wa kawaida kuonekana hadharani na kwenye vyombo vya habari akisema na kushauri hili na lile kwa manufaa ya watanzania. Ghafla ametoweka hewani kuliko mzee Mwinyi kama vile mtu aliyeishiwa ghafla na jambo la kutushauri watanzania. Yuko wapi mzee wetu huyu sasa hivi?
Mkapasasa hivi atakuwa anasoma yale mabox na mabox ya vitabu aliyokuwa analetewa kila mwezi pale Sea View,huku anakunywa Scotch Whisky, kama hajaacha.

Halafu anamuangalia "country bumpkin" aliyemuweka anavyoboronga nchi, na kufikiri "how do I spin this so it does not tarnish my legacy, the guy can hardly speak coherently, let alone run a country".
 
Mbase1970, Ukweli ni kua Magu anashindwa afanye nn juu ya watangulizi wake wawili. Kwanza katiba ina walinda na pili wao ndo wamemkuza kwenye siasa na kumpa nafasi hiyo. Amini kama Magu angelikulia upinzani akaja kua Rais katiba ingelibadilishwa na hao wazee sijui nn kingeliwakuta. Mwinyi alivyo sema kama si katiba angelitamani Magufuri awe Rais wa milele ni kauli nzito sana ya kuwaponda Mkapa na JK japo wengi hawakuielewa wakaenda chaka. Alimaanisha hao wawili walikua wapigaji sana wa mali za wanyonge na wameipeleka nchi pabaya sana hivyo anatamani Ikulu pasiingie tena majizi. Huyo mzee alitumia fumbo kubwa sana sema wengi hatutafakari kwa kina kunakua na mihemuko ya siasa za maji taka. Kumbuka kwenye tawala za Ben na JK mzee Mwinyi hakuwahi kujitokeza kusema hayo?
 
Katika siku za mwanzoni za awamu ya tano Mzee Mkapa alikuwa wa kawaida kuonekana hadharani na kwenye vyombo vya habari akisema na kushauri hili na lile kwa manufaa ya watanzania. Ghafla ametoweka hewani kuliko mzee Mwinyi kama vile mtu aliyeishiwa ghafla na jambo la kutushauri watanzania. Yuko wapi mzee wetu huyu sasa hivi?
Mtoto wake anajaribu kufukua makaburi.

Link Lissu: Serikali ya Magufuli imejaa wapigaji
 
Katika siku za mwanzoni za awamu ya tano Mzee Mkapa alikuwa wa kawaida kuonekana hadharani na kwenye vyombo vya habari akisema na kushauri hili na lile kwa manufaa ya watanzania. Ghafla ametoweka hewani kuliko mzee Mwinyi kama vile mtu aliyeishiwa ghafla na jambo la kutushauri watanzania. Yuko wapi mzee wetu huyu sasa hivi?
Kama unamuhitaji fika "Chatu" kwa haraka lakini sio kwa kukurupuka.

Link Mkapa awasili Chato kukabidhi Nyumba 50 za watumishi wa afya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom