Mzee Mkapa yuko wapi?

huyu mzee si ndie aligawa viwanda vyetu...


na huyu huyu mzee si ndie aliileta iptl na acacia????
 
Katika siku za mwanzoni za awamu ya tano Mzee Mkapa alikuwa wa kawaida kuonekana hadharani na kwenye vyombo vya habari akisema na kushauri hili na lile kwa manufaa ya watanzania. Ghafla ametoweka hewani kuliko mzee Mwinyi kama vile mtu aliyeishiwa ghafla na jambo la kutushauri watanzania. Yuko wapi mzee wetu huyu sasa hivi?


Atakuwa anajinyea tu huko Tanga pamoja na kufanya makafara ya hajabu ili asijekamatwa na watanzania wenye hasira na kumfanyizia kutokana na ufujaji alioufanya akiwa madarakani. Watanzania bado tunamuwinda sana, ajifiche tu huko huko au ajiue tu.
 
huyu mzee si ndie aligawa viwanda vyetu...


na huyu huyu mzee si ndie aliileta iptl na acacia????
Alituambia paka ni paka usijali rangi yake bali jali ukamataji wa panya wake. Ninamuonea huruma Rais Magufuli kuhangaika na viwanda ambavyo vilikuwepo vikauzwa na kutelekezwa na waliouziwa. Bahati mbaya Katiba yetu hairuhusu kabisa hata watu wa aina hii walau hata kuhojiwa tu sembuse kushitakiwa. Itashangaza saana tena saana kama mwanamageuzi Rais Dr. Magufuli atatuachia Katiba la aina hii atakapokuwa na yeye ameondoka madarakani. Tena yeye ndiye ambaye atakuja kusononeka sana tena sana kama hivi viwanda vyake anavyovijenga kwa "kujitoa sadaka" vitakuja kuuzwa mchana kweupe kwa bei chee na Rais atakayefuata baada yake, maana kwa katiba hii kila kitu kinawezekana inabaki huruma tu za Rais aliyeko madarakani.
 
Katika siku za mwanzoni za awamu ya tano Mzee Mkapa alikuwa wa kawaida kuonekana hadharani na kwenye vyombo vya habari akisema na kushauri hili na lile kwa manufaa ya watanzania. Ghafla ametoweka hewani kuliko mzee Mwinyi kama vile mtu aliyeishiwa ghafla na jambo la kutushauri watanzania. Yuko wapi mzee wetu huyu sasa hivi?
Jana kapewa vidonge vyake ............. sidhani kama bado ana hamu tena ya kuendelea kuto ushauri!!
 
Sasa hivi bwana Pombe anahaha mbugani kama Nyati aliyejeruhiwa vibaya. In such situations, wale wote wenye questionable track records wanapaswa kufunga mabakuri yao na kujificha kabisa. Otherwise ile offer ya "kuachwa wapumzike" inaweza kuondolewa. Bwana huyu hatabiriki kabisa.
 
Katika siku za mwanzoni za awamu ya tano Mzee Mkapa alikuwa wa kawaida kuonekana hadharani na kwenye vyombo vya habari akisema na kushauri hili na lile kwa manufaa ya watanzania. Ghafla ametoweka hewani kuliko mzee Mwinyi kama vile mtu aliyeishiwa ghafla na jambo la kutushauri watanzania. Yuko wapi mzee wetu huyu sasa hivi?
_20170522_211412.JPG
 
Nilimuona majuzi kwenye mazishi ya Rais wa zamani wa Botswana akiwa na salim, kwa sasa nadhani amisharudi.

wewe mawe yanayorushwa kila siku juu ya paa ya nyumba yake unadhani atapata wapi raha ya kujitokeza hadharani? muache aendelee kujificha huko huko Lushoto

kwanza yeye Noah haimhusu
_20170705_073220.JPG
 
Back
Top Bottom