ktk uchaguzi wa usa uliopita kulikuwa na ushindani mkubwa kati ya chama cha democratic na republican,wagombea wao walikuwa obama na mzee macain,dakika za mwisho za kampeni kada mtiifu wa republican na waziri mstaafu wa mambo ya nchi za nje gen. Powel alivaa uzalendo na kusema ingawa yupo republican ila chaguo sahihi kwake na kwa wamarekani ni obama wa democratic,rai yangu ni kutaka mkapa na mwinyi kama wazee wetu wawaambie watanzania kwa mapenzi mema ya taifa letu wamchague dr slaa kwa manufaa ya taifa letu