Mzee mkapa na mwinyi igeni ya collin powell

urasa

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
434
2
ktk uchaguzi wa usa uliopita kulikuwa na ushindani mkubwa kati ya chama cha democratic na republican,wagombea wao walikuwa obama na mzee macain,dakika za mwisho za kampeni kada mtiifu wa republican na waziri mstaafu wa mambo ya nchi za nje gen. Powel alivaa uzalendo na kusema ingawa yupo republican ila chaguo sahihi kwake na kwa wamarekani ni obama wa democratic,rai yangu ni kutaka mkapa na mwinyi kama wazee wetu wawaambie watanzania kwa mapenzi mema ya taifa letu wamchague dr slaa kwa manufaa ya taifa letu
 
ktk uchaguzi wa usa uliopita kulikuwa na ushindani mkubwa kati ya chama cha democratic na republican,wagombea wao walikuwa obama na mzee macain,dakika za mwisho za kampeni kada mtiifu wa republican na waziri mstaafu wa mambo ya nchi za nje gen. Powel alivaa uzalendo na kusema ingawa yupo republican ila chaguo sahihi kwake na kwa wamarekani ni obama wa democratic,rai yangu ni kutaka mkapa na mwinyi kama wazee wetu wawaambie watanzania kwa mapenzi mema ya taifa letu wamchague dr slaa kwa manufaa ya taifa letu
WE Mchaga (Urasa) kila unayemuona unafikiri ni chadema tu? To bias thread. Hata haifai kuletwa humu. Bora mara 100 ungesema wawaambie chama cha kuchagua ambacho kinaweza kuwa CUF, CCM, NCCR, TLP na hata jahazi asilia.
Nonsense thread!
 
ktk uchaguzi wa usa uliopita kulikuwa na ushindani mkubwa kati ya chama cha democratic na republican,wagombea wao walikuwa obama na mzee macain,dakika za mwisho za kampeni kada mtiifu wa republican na waziri mstaafu wa mambo ya nchi za nje gen. Powel alivaa uzalendo na kusema ingawa yupo republican ila chaguo sahihi kwake na kwa wamarekani ni obama wa democratic,rai yangu ni kutaka mkapa na mwinyi kama wazee wetu wawaambie watanzania kwa mapenzi mema ya taifa letu wamchague dr slaa kwa manufaa ya taifa letu
hawa chadema nao toka wajue hili jamvi ni la kwao basi wanarusha kila kitu hata mambo ya ulevini!!!!!!
 
ktk uchaguzi wa usa uliopita kulikuwa na ushindani mkubwa kati ya chama cha democratic na republican,wagombea wao walikuwa obama na mzee macain,dakika za mwisho za kampeni kada mtiifu wa republican na waziri mstaafu wa mambo ya nchi za nje gen. Powel alivaa uzalendo na kusema ingawa yupo republican ila chaguo sahihi kwake na kwa wamarekani ni obama wa democratic,rai yangu ni kutaka mkapa na mwinyi kama wazee wetu wawaambie watanzania kwa mapenzi mema ya taifa letu wamchague dr slaa kwa manufaa ya taifa letu

No way, No how, No Slaa.
 
haya mapambio tu,


tusikimbiane baada ya uchaguzi. ila nnajua sababu hazitokosekana kwenu. watanzania wajinga, watanzania hawana akili, tume si huru, katiba ina dosari inapendelea chama tawala.


ila itabaki kuwa watanzania sasa wana uelewa mkuu na wanajua wanachokifanya. wanajua tukashangae mahelikopta na manjonjo ya chadema ila kwa kuwaachia nchi ni nani.


jengine kwa ndugu Slaa bado, na nia ibu kubwa kwa viongozi wetu kuwafanya mambumbu, alau kwa zanzibar wangesema sawa na maalim anaweza kupewa inaingia akilini.


lakini kwa huku hata Lipumba bado, bado upinzani kuwachiwa nchi bado sana. kwanza ni watu wa zima moto, angalia mgombea wenu mlimpataje utaona kuwa ni wazima moto tu nyny?

jipangeni ondoeni ukabila na umajimbo na udini na utanganyika na uzanzibari halafu mje tena


kwanza itokee kimakosa mmeshinda (na haitokei labda mama yangu mwanamme ) basi hamuwezi kuuulinda muungano si watu wenye busara hata kidogo ni wasema ovyo tu
 
Back
Top Bottom