digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,901
- 14,368
- Thread starter
- #21
What is your point Mr?
Alafu uchawi unarithishana
Alafu uchawi unarithishana
Leo nimeona rangi ya kijani kwenye comment yake sehemu, ile rangi si humaanisha mtu yupo online ?Maskini baba yake ameshaamua kuweka matanga ya mwanae na kuwasamehe wote, maana ni mwaka wa 3 huu unakwenda hata dalili za kwamba atamwona mwanawe akiwa uhai hazipo. Pole sana Mzee wetu, na Ben utakukumbukwa na wana mageuzi na wapigania demokrasia ya kweli Tanzania na Africa nzima kama kijana shujaa!!.
Ndio maana Mkapa hapendi kabisa kuishi kusini
NimekushindwaDuuuuh ilisemwalo lipo bhana huenda ni wachawi
Duh ndiyo maana nchi haiendelei viongozi wanatoka kwenye jamii za wachawi na washirikina
Mshirikina mwenyeweAcha kuwa na imani ya kishirikina watu kama wewe ndo mnaamini ushirikina na kusababisha maendeleo kurudi nyuma. Eti kaloga mvua, nawe unaamini
Ndio maana Mkapa hapendi kabisa kuishi kusini
Wewe siumeshamsemea sasa amekosaje pa kusemea?Nimemkumbuka Saanane, nadhani hata baba yake ana mateso mengi moyoni ila anakosa pakuongelea. Akumbukwe Ben.
Kwenda kujenga Lushot kabisa.Ndio maana Mkapa hapendi kabisa kuishi kusini