Mzee Mbatia acha kueneza chuki

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,118
7,701
Nimekuwa nikisikiliza "clips" mbalimbali za Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mzee Mbatia hakika mtakubaliana nami kuwa mazungumzo yake yamejaa chuki kali dhidi ya Serikali ya awamu ya 6.

Msingi wa chuki zake zinatokana na swahiba wake Mbowe kufikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashitaka ya Ugaidi.

Mzee Mbatia tangu siku ya kwanza Mbowe alipo fikishwa mahakamani hakuonyesha kuheshimu utawala wa sheria na alidiriki kutoa matamko kuwa Mbowe aachiwe huru.

Huyu ndio Mbatia asiye jali wala kuheshimu utawala wa sheria kisa eti swahiba wake kafikishwa mahakamni.

Ni vyema mbatia akajifunza kuheshimu Utawala wa Sheria, namshauri akae kimya kuhusu suala la Mbowe, aache vyombo vyenye mamlaka ya kikatiba vitimize majukumu yake.

Namshauri Mbatia aache kueneza chuki dhidi ya Serikali ya awamu hii 6, atumie demokrasia vizuri.

Namshauri Mbatia aache tabia ya kudharau mamlaka.

Mwisho namshauri Mbatia kama amechoka kufanya siasa ni bora akajiuzulu kuliko kueneza chuki na kudharau mamlaka.
 

tangu lini Mbatia akawa kijana?!!
hiyo ni heshima yake kutokana na UMRI alio fikia.
Mzee Mbatia.
Mzee Mbowe.
neno mzee limekuwa likitumika mahali si pake, unakuta kijana anaitwa mzee, huko ni kutoa heshima isiyostahili
 
Nenda kawaambie na Bunge la EU kuwa kesi ya Mbowe iko Mahakamani waache choko choko.
 
Yaani huu unafiki wa Mbatia upo wazi kabisaa.

Siku aliposhitakiwa Sabaya, Mbatia alijitokeza hadharani na akapongeza kuwa Serikali inafuata utawala wa sheria lkn siku alipo kamatwa swahiba wake mbowe, Mbatia alijitokeza bila aibu na kushinikiza eti mbowe aachiwe huru hana hatia.

Huu ni unafiki wa wazi alio uonyesh mzee mbatia, yaani anaona watu wote ni wajinga!! namshauri aache kueneza chuki.
 
Yaani huu unafiki wa Mbatia upo wazi kabisaa.

siku alipo shitakiwa Sabaya, Mbatia alijitokeza hadharani na akapongeza kuwa Serikali inafuata utawala wa sheria lkn siku alipo kamatwa swahiba wake mbowe, Mbatia alijitokeza bila aibu na kushinikiza eti mbowe aachiwe huru hana hatia!!!
huu ni unafiki wa wazi alio uonyesh mzee mbatia, yaani anaona watu wote ni wajinga!! namshauri aache kueneza chuki.
Kwahiyo sabaya unataka kumfananisha na KAMANDA MBOWE?AISEE KICHWAN UMEWEKA MAFUTA YA TAA?
 
Nimekuwa nikisikiliza "clips" mbalimbali za Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mzee Mbatia hakika mtakubaliana nami kuwa mazungumzo yake yamejaa chuki kali dhidi ya Serikali ya awamu ya 6.

Msingi wa chuki zake zinatokana na Mbowe kufikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashitaka ya Ugaidi.

Mzee Mbatia tangu siku ya kwanza Mbowe alipo fikishwa mahakamani hakuonyesha kuheshimu utawala wa sheria na alidiriki kutoa matamko kuwa Mbowe aachiwe huru!!!

huyu ndio Mbatia asiye jali wala kuheshimu utawala wa sheria kisa eti swahiba wake kafikishwa mahakamni!!!

Ni vyema mbatia akajifunza kuheshimu Utawala wa Sheria, namshauri akae kimya kuhusu suala la mbowe, aache vyombo vyenye mamlaka ya kikatiba vitimize majukumu yake.

Namshauri Mbatia aache kueneza chuki dhidi ya Serikali ya awamu hii 6, atumie demokrasia vizuri.

Namshauri Mbatia aache tabia ya kudharau mamlaka.

Mwisho namshauri Mbatia kama amechoka kufanya siasa ni bora akajiuzulu kuliko kueneza chuki na kudharau mamlaka.
Utawala wa Sheria ni pamoja na kubambikia watu kesi? Yaani serikali ikisjisikia kushitaki Mtu inakamata inatengeneza mashahidi wa kubumba inapeleka raia mahakamani? Kwako Kwa vile kesi fake iko mahakamani ndo utawala wa Sheria? Hivyo vichwa mnabeba vya nini kama ndani yake Hamna ubongo?
 
Yaani huu unafiki wa Mbatia upo wazi kabisaa.

siku alipo shitakiwa Sabaya, Mbatia alijitokeza hadharani na akapongeza kuwa Serikali inafuata utawala wa sheria lkn siku alipo kamatwa swahiba wake mbowe, Mbatia alijitokeza bila aibu na kushinikiza eti mbowe aachiwe huru hana hatia!!!
huu ni unafiki wa wazi alio uonyesh mzee mbatia, yaani anaona watu wote ni wajinga!! namshauri aache kueneza chuki.
Stupid minds!! Ugaidi wa Mbowe ulianza lini? Unafahamu gaidi anafananaje?
 
Hivi mtu kusema mbowe aachiwe ni kueneza chuki? Halafu mtu awezaje kudharau utawala wa sheria? Hapa hakuna chuki ni maoni tu kama kiongozi mkuu wa kitaifa wa upinzani isingeleta maana akae kimya
 
Utawala wa Sheria ni pamoja na kubambikia watu kesi? Yaani serikali ikisjisikia kushitaki Mtu inakamata inatengeneza mashahidi wa kubumba inapeleka raia mahakamani? Kwako Kwa vile kesi fake iko mahakamani ndo utawala wa Sheria? Hivyo vichwa mnabeba vya nini kama ndani yake Hamna ubongo?
Abambikiwe mbowe kwa lipi haswa?!
Mbowe anavuna alicho kipanda mwenyewe kwa matendo yake mwenyewe.
ndio maana yupo mahakamani.

Hakuna aliye juu ya sheria wala usijidanganye eti kuwa kuwa Mboe ni Mwanasiasa basi hapswi kushitakiwa!!! au hawezi kutenda uhalifu!!!
 
Back
Top Bottom