Juliana Shonza
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,009
- 1,607
- Thread starter
- #21
Ndivyo wanavyosema..chadema washindwe wenyewe kumtumia huyo chizi,,,nasikia katika utaalamu wa kuiba kura huyo mzee hana mpinzani....
Ndivyo wanavyosema..chadema washindwe wenyewe kumtumia huyo chizi,,,nasikia katika utaalamu wa kuiba kura huyo mzee hana mpinzani....
Tafsiri ya nilichokiandika kitatokana na uwezo wako wa kusoma kuelewa na kupambanua maandishi yangu..,na let me assure U kuwa i'm only responsible na ninachokiandika but i'm not responsible na unavyotafsir..tafsiri ni mali yako, sina kawaida to get crossed onto others business...Juliana Shonza, usipende kuongea kila kitu, vitu vingine unapaswa kunyamaza tu maana utakuwa unajidhalilisha wewe, watu wanaokuzunguka na hata chama chako.
Sasa hapo unataka kuwasilisha nini sasa, CCM walikuwa wanamtumia MATSON CHIZI kuiba kura na kwa maana hiyo miaka yote walipata ushindi kwa njia za wizi wa kura. Hatari sana kuwa na watu wenye akili kama hii nao wakijipambanua kuwa ni viongozi. AIBUU.
Juliana ni Mbunge anayesubiria kuapishwa katika Bunge la Jamhuri la Awamu ya TANO.
Dada angalia mdomo wako, unachoandika hapa kinaweza kukusimamisha Mahakamani!Juliana Shonza, usipende kuongea kila kitu, vitu vingine unapaswa kunyamaza tu maana utakuwa unajidhalilisha wewe, watu wanaokuzunguka na hata chama chako.
Sasa hapo unataka kuwasilisha nini sasa, CCM walikuwa wanamtumia MATSON CHIZI kuiba kura na kwa maana hiyo miaka yote walipata ushindi kwa njia za wizi wa kura. Hatari sana kuwa na watu wenye akili kama hii nao wakijipambanua kuwa ni viongozi. AIBUU.
Ndivyo lilivyoandikwa kwenye passport yake ya kusafiria na vyeti vyeti vya taaluma....ila sina uhakika kama ni jina lake ama madoido tu...maana tunaishi katika zama za mwisho kila kitu kinawezekana, hata jua kuchomoza kutoka magharibi na kuzama mashariki.Chizi ni jina lake au aka?
Juliana ni Mbunge anayesubiria kuapishwa katika Bunge la Jamhuri la Awamu ya TANO.
Ndivyo lilivyoandikwa kwenye passport yake ya kusafiria na vyeti vyeti vya taaluma....ila sina uhakika kama ni jina lake ama madoido tu...maana tunaishi katika zama za mwisho kila kitu kinawezekana, hata jua kuchomoza kutoka magharibi na kuzama mashariki.
Dizaini kama umepanick hivi, naona unakosa consistence, ulipoanzia na ulipoishia ni Makkah na Jerusalem.Acha kujadili na kushambulia mtu binafsi, jadili hoja. Hilo jina linahusiana nini na wizi wa kura. Mbona wazungu wana majina kama Woodgate, Southgate, Sandbloom, Bush na bado mnawaabudu. Hilo ni jina la ukoo ukilitamka kiswahili linakuwa na maana hiyo ya CHIZI. Magufuli, Kulikoyela, Kumalija, Chenge, Kafumu, et al
Juliana ni Mbunge anayesubiria kuapishwa katika Bunge la Jamhuri la Awamu ya TANO.
Kweli kabisa mkuu, hapa nakubaliana na wewe. Kila kitu kinawezekana zama hizi...Ndivyo lilivyoandikwa kwenye passport yake ya kusafiria na vyeti vyeti vya taaluma....ila sina uhakika kama ni jina lake ama madoido tu...maana tunaishi katika zama za mwisho kila kitu kinawezekana, hata jua kuchomoza kutoka magharibi na kuzama mashariki.
Juliana ni Mbunge anayesubiria kuapishwa katika Bunge la Jamhuri la Awamu ya TANO.
We dada yaani unataka kutuaminisha kwamba CCM wamekuwa wakiwaibia kura wapinzani miaka yote? angalia wanaweza kukunyanganya kadi yao, kuwa mwangalifu - yaani unataka kutuamisha kwamba CCM wamem- train na kumwezesha huyu jamaa kuwa mwizi nguri wa kura za upinzani miaka yote siyo?Yule mwizi maarufu wa kura aliyejulikana kwa jina la Matson Chizi (64) msukuma wa Shinyanga ameamua kujiunga na CHADEMA kwa kazi maalum ya kuiba kura za CCM na kuwaguarantee ushindi CHADEMA na UKAWA.