Mzee mangula umevaa nn sasa?

Mzee mangula umevaa nn sasa?

attachment.php
Halima Mdee ndo kasababisha yote hayo kwa huyo mzee.
 
Mwanasiasa huyu mkongwe hapa TZ alionekana (Pichani) kituko kutokana mavazi aliyovaa siku Viongoz wa vyama vya Siasa walipoenda kuonana na Rais Ikulu, Duuh hata kama upo bize ndo uvae RABA na shati la maua maua jamani hata mkeo hakukuona wakati umetoka home tena unaenda State House punguzen ukale jamani!!

Ikulu ya waTanzania
 
Umeona na kutathmini Jk anavyopenda kuvaa mashati ya mauamaua siku hizi? Huenda hii ni fasheni mpya!!
 
Ndio maana imekuwa 'bahati mbaya' kwake kuishi kwenye jimbo la Mh. Halima Mdee - Kawe!
 
Kuna kutu watu wanaita " generation gap". Wakti ni ukuta baba, huwezi kushindana nao.
 
wewe koma kwani wanawake ndo tunaowachagulia nnguo?
si mnajifanya nyie wabishi sana tukiwaambia mtokelezee kimtoko
hamtaki mnataka mvae kivyennu ona mwenzenu alivyowaabisha hapo
mwambieni nyie sio mseme mkewe hakumwambie labda ni bishi kwa mkewe.
Mwanasiasa huyu mkongwe hapa TZ alionekana (Pichani) kituko kutokana mavazi aliyovaa siku Viongoz wa vyama vya Siasa walipoenda kuonana na Rais Ikulu, Duuh hata kama upo bize ndo uvae RABA na shati la maua maua jamani hata mkeo hakukuona wakati umetoka home tena unaenda State House punguzen ukale jamani!!
 
hiyo staili inaitwa BAHAMA UJIUJI....na LABA MTONI ,...
 
Du mkewe anajitahidi kumpiga pamba nyie mnaponda, kwi kwi kwiiiiii
 
hiyo staili inaitwa BAHAMA UJIUJI....na LABA MTONI ,...

Hahah na huenda katupia suruali ya mchele mchele...
Enzi zetu shati kama hilo ulikuwa wavalia na suruali ya jeans ya mawingu mawingu...teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom