Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,309
- 1,150
Halima Mdee ndo kasababisha yote hayo kwa huyo mzee.
Halima Mdee ndo kasababisha yote hayo kwa huyo mzee.
Alivaa kama anaenda kurina asali porini daah! huyu mzee si kaoa juzi tu jamani? au kaacha mke kijijini?
NAOMBA KUMTAMBUA TySON....!
Mwanasiasa huyu mkongwe hapa TZ alionekana (Pichani) kituko kutokana mavazi aliyovaa siku Viongoz wa vyama vya Siasa walipoenda kuonana na Rais Ikulu, Duuh hata kama upo bize ndo uvae RABA na shati la maua maua jamani hata mkeo hakukuona wakati umetoka home tena unaenda State House punguzen ukale jamani!!
Kaoa hata miezi 6 hana naona labda alikuwa shamba akaitwa ghafla ikulu ikabidi aunge hivyo hivyo
Mwanasiasa huyu mkongwe hapa TZ alionekana (Pichani) kituko kutokana mavazi aliyovaa siku Viongoz wa vyama vya Siasa walipoenda kuonana na Rais Ikulu, Duuh hata kama upo bize ndo uvae RABA na shati la maua maua jamani hata mkeo hakukuona wakati umetoka home tena unaenda State House punguzen ukale jamani!!
Mzee huyo kaoa hivi majuzi.....
hiyo staili inaitwa BAHAMA UJIUJI....na LABA MTONI ,...
Alichomoka honeymoon kidharula tu, msameheni bureMzee huyo kaoa hivi majuzi.....
Alichomoka honeymoon kidharula tu, msameheni bure
kavaa shati la ujiuji na NJUMU
![]()
Mzee Mangula siku ya mnuso wake