chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,334
- 1,318
Pamoja na kuwa hamna aliye juu ya chama kwa wanachama, lakini naamini kuheshimiana ni jambo muhimu sana, bila kujali nafasi ulizowahi kushika, lakini umri wako tu ilitosha wajiulize namna wanavyokuita, (yaani mimi nisingeenda kamwe) kuitwa kwanza na vyombo vya habari, hata ikija barua ni haina tena uzito.
Upande wa chama ni bora mngeunda tume/kamati muwafuate wazee na muongee nao, kama kuna shida mnatatua kiutaratibu bila kuacha majeraha ndani ya chama (hiyo ndio kazi ya cha ndani ya chama) amjachelewa.
Ila sikubaliani kuwahita wazee hao Kinana na Makamba, na naomba wasijali kama watafukuzwa chama, hiyo juu yao.
Upande wa chama ni bora mngeunda tume/kamati muwafuate wazee na muongee nao, kama kuna shida mnatatua kiutaratibu bila kuacha majeraha ndani ya chama (hiyo ndio kazi ya cha ndani ya chama) amjachelewa.
Ila sikubaliani kuwahita wazee hao Kinana na Makamba, na naomba wasijali kama watafukuzwa chama, hiyo juu yao.