Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kuwa DC Kama kijana wake. Alimsomesha mwanaye nchini Marekani. Ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Baba yake alikua katili sana, nadhani akiwa DC serengeti alisababisha vurugu.
Alikuwa DC Iringa mjini, Serengeti na Rombo
 
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Kaka kumbe USA??!!!
 
Tatizo ni CCM
CCM inafundisha ugaidi kwa uvccm
CCM inafundisha ubaguzi kwa uvccm
CCM inafundisha utekaji nk

Matatizo yote Tanzania yaanzia ccm na Vijana wake uvccm, mfano
Makonda
Alhapi
Sabaya
Hata Hamza wa uvccm
Nk
 
Na ndio wanapeana madaraka ya kiserikali na kiulinzi Kwenye majeshi YETU.

Mwisho wake tunashangazwa
PGO hazifuatwi
Sheria hazifuatwi
Kanuni, Taratibu na miiko hazifuatwi

Tunashangazwa polisi kugeuka wanasiasa, polisi kupambana na wanasiasa, wakuuu wa wilaya, mikoa nk kupambana na wananchi nk wote wanatokea huko uvccm

Ccm imeiharibu Tanzania sana.
 
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Alifeli akaenda kusoma uganda advance, au uganda ni ughaibuni?!

Chuo kasoma education st john hapo dodoma na inasemekana hakuhitimu.
 
Uhuru Kenyatta kasoma Marekani mlinganishe na Sabaya sasa. Kama kweli alisoma huko basi hata kwenda kutembelea hakutakiwa lilikuwa kosa kubwa sana. Mana kwa ujinga wake na ushamba wake huo anawadhalilisha waliosomea huko kama ni kweli alisomea huko.
 
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Mwalimu wake alokuwa TRUMP
 
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Kumbee! Sasa nimeelewa kwanini alikuwa vile, alikuja akilini mwake akiwa na filamu za makauboi (cowboys) za kuvamia kupora na kuondoka akina Kitty Courson enzi hizo.
 
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Labda Marekani ya USA river
 
Back
Top Bottom