Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Hata Baba yake alifukuzwa uDC kwa ajili ya kutokuwa na maadili ya Kazi na roho mbaya,so huyu akili zake karithi kwa Baba yake na akachanganya na zile za Kayafa mwendakuzimu ndio imekuwa balaa zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app