Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani Wana dukuliwa Nyaraka ki rahisi vile Mkuu?! Vyuo/Vyeti ,feki!!!Si ndiyo Baba Wa Dunia au!!!?Ukichunguza utakuta hiyo elimu anayodai kuipata Marekani ni hewa.
Babake mwenyewe alikuwa kichwa maji kama mwanaye tuKtk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Namnukuu Siro..."wazazi naomba msizae watoto wa ovyo ovyo kama Hamza"...mwisho wa kumnukuu.Sirro amemswalisha kulikoni kutuzalia toto jambazi?
Jama jibu ni "la hasha."
Basi, swali lile kuwahusu familia ya Hamza peke itaashiria ubaguzi kama wa kule UK 😁😁.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kwenye Kula hakuna ushamba, unajuwa kwamba the late Daniel arap MOI licha ya kuwa Rais lakini Kila siku alikuwa anakula mahindi ya kuchemsha ? Mugabe alipenda ugali wa mtama na mboga za kiafrica pia Mobutu alipenda Kula kisamvu. Hawa wote walikuwa na pesa nyingi mno ,ukijua anachokula Trump pia utamuona mshambaYule mshamba tu kuishi kote huko Marekani anakula wali na wine.
Sabaya ana pesa nyingi sana wala sio mshamba.serikali inakufunga alafu inakuacha na hela,zile 100 mil wanazosema kaiba na zingine nyingi kaachiwaYule mshamba tu kuishi kote huko Marekani anakula wali na wine.
Namnukuu Siro..."wazazi naomba msizae watoto wa ovyo ovyo kama Hamza"...mwisho wa kumnukuu.
Hii nchi ngumu sana.
Unamaanisha Lemutuz ni mshamba?Hata Le mutuz kasoma Marekani!
Huyu hata chuo kikuu hakumaliza.acheni kumpaisha amesoma wapi bwana huyu
Marekani alisomeea nn maana km ni sekondary tulikuwa nae UgandaKtk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.
Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.
Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?
Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?
Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Anamaanisha usa riverChuo kasoma St John Dodoma, hiyo marekani itakuwa ya uko umasaini
Umeambiwa USA RiverElimu ya primary au secondary ndo alisoma USA?