Mzee Lowassa kurejea CCM baada ya Uchaguzi

Mzee Lowassa kurejea CCM baada ya Uchaguzi

Kumekuwa na kila dalili ya mzee Lowasa kujiunga CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu ikiwa ni kutokana na hofu yake ya kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya mali za serikali pamoja na ufisadi. Washauri wake wa karibu pamoja na marafiki wake wakuu wamemtaka mara baada ya Dr Magufuli kuingia ikulu ni vema akarejea ktk chama chake ili kuweka mambo sawa kwa baadae tofauti na hapo hali yake kimaisha inaweza kubadilika sana.

Aidha kwa mujibu wa vyanzo vinavyoaminika vinasema Mzee Lowasa kujiunga na Chadema ni mojawapo ya mikakati ya muda mrefu ya CCM ktka kujiimarisha na kuongeza ushindi.

Wadadisi wa maswala ya kisiasa wanazidi kutabili kwamba ujio wa Dr Magufuli ktk nafasi ya urais pia ni mkakati wa muda mrefu ulioandaliwa na CCM ktk kujihakikishia ushindi tofaiti na mitazamo ya watu, wanasema Magufuli aliandaliwa sawasawa na si vinginevyo.
Kwa mazingira hayo chadema inaenda kubakia ktka historia ya vyama vya upinzani vilivyoibuka na kufa, poleni sana ndungu zetu wa chadema.

= kutabiri
 
Acheni kuandika Habiri za lowasa kila siku nyie.Hivi ccm ilani iko wapi?mbona nyie kila siku lowasa lowasa! Leteni hoja za ilani za vyama si ujinga huu wakuzungumzia watu.Kweli Tanzania imejaa malofa.
 
Anguko la vyama vikuu vya upinzani,ishara zote zinaonyesha hivyo. EL kurudi C.C.M akikosa urais ni 99.9%. CDM si rahisi kupata mafanikio iliyofikia,hasa baada ya kumtosa GS wake na think tank,Dr W.Slaa(Ph.D). Huu uzi ni mchungu kwa UKAWA,lakini ndo hivyo. Mbowe anaendesha chama kwa matukio na mihemuko,bila kujali athari zake,angetulia na kujenga hoja kumshawishi Dr Slaa,au akishindwa hoja,afuate hoja zilizoshinda. Haiwezekani eti Dr Slaa na Prof Lipumba ni malofa.
 
Kumekuwa na kila dalili ya mzee Lowasa kujiunga CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu ikiwa ni kutokana na hofu yake ya kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya mali za serikali pamoja na ufisadi. Washauri wake wa karibu pamoja na marafiki wake wakuu wamemtaka mara baada ya Dr Magufuli kuingia ikulu ni vema akarejea ktk chama chake ili kuweka mambo sawa kwa baadae tofauti na hapo hali yake kimaisha inaweza kubadilika sana.

Aidha kwa mujibu wa vyanzo vinavyoaminika vinasema Mzee Lowasa kujiunga na Chadema ni mojawapo ya mikakati ya muda mrefu ya CCM ktka kujiimarisha na kuongeza ushindi.

Wadadisi wa maswala ya kisiasa wanazidi kutabili kwamba ujio wa Dr Magufuli ktk nafasi ya urais pia ni mkakati wa muda mrefu ulioandaliwa na CCM ktk kujihakikishia ushindi tofaiti na mitazamo ya watu, wanasema Magufuli aliandaliwa sawasawa na si vinginevyo.
Kwa mazingira hayo chadema inaenda kubakia ktka historia ya vyama vya upinzani vilivyoibuka na kufa, poleni sana ndungu zetu wa chadema.

Na mimi nikisema kuwa Mwenyekiti wenu yuko pamoja na Lowasa baada ya kuona kuwa ccm inamfia imebidi ajisalimishe kwa Nguli ili baadae Nguli akiwa Magogoni na yeye apate kupumua kidogo utasemaje?
 
Kumekuwa na kila dalili ya mzee Lowasa kujiunga CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu ikiwa ni kutokana na hofu yake ya kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya mali za serikali pamoja na ufisadi. Washauri wake wa karibu pamoja na marafiki wake wakuu wamemtaka mara baada ya Dr Magufuli kuingia ikulu ni vema akarejea ktk chama chake ili kuweka mambo sawa kwa baadae tofauti na hapo hali yake kimaisha inaweza kubadilika sana.

Aidha kwa mujibu wa vyanzo vinavyoaminika vinasema Mzee Lowasa kujiunga na Chadema ni mojawapo ya mikakati ya muda mrefu ya CCM ktka kujiimarisha na kuongeza ushindi.

Wadadisi wa maswala ya kisiasa wanazidi kutabili kwamba ujio wa Dr Magufuli ktk nafasi ya urais pia ni mkakati wa muda mrefu ulioandaliwa na CCM ktk kujihakikishia ushindi tofaiti na mitazamo ya watu, wanasema Magufuli aliandaliwa sawasawa na si vinginevyo.
Kwa mazingira hayo chadema inaenda kubakia ktka historia ya vyama vya upinzani vilivyoibuka na kufa, poleni sana ndungu zetu wa chadema.
Hao wadadizi wako wa masuala ya kisiasa sijui wamekula maharage ya wapi?
 
Kumekuwa na kila dalili ya mzee Lowasa kujiunga CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu ikiwa ni kutokana na hofu yake ya kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya mali za serikali pamoja na ufisadi. Washauri wake wa karibu pamoja na marafiki wake wakuu wamemtaka mara baada ya Dr Magufuli kuingia ikulu ni vema akarejea ktk chama chake ili kuweka mambo sawa kwa baadae tofauti na hapo hali yake kimaisha inaweza kubadilika sana.

Aidha kwa mujibu wa vyanzo vinavyoaminika vinasema Mzee Lowasa kujiunga na Chadema ni mojawapo ya mikakati ya muda mrefu ya CCM ktka kujiimarisha na kuongeza ushindi.

Wadadisi wa maswala ya kisiasa wanazidi kutabili kwamba ujio wa Dr Magufuli ktk nafasi ya urais pia ni mkakati wa muda mrefu ulioandaliwa na CCM ktk kujihakikishia ushindi tofaiti na mitazamo ya watu, wanasema Magufuli aliandaliwa sawasawa na si vinginevyo.
Kwa mazingira hayo chadema inaenda kubakia ktka historia ya vyama vya upinzani vilivyoibuka na kufa, poleni sana ndungu zetu wa chadema.

Angalia shimo unalomchimbia adui yako yaweza kuwa ndio shimo utakalodumbukia wewe.Uimara wa upinzani nchini ni muhimu sana kwa mafanikio na maendeleo ya nchi yetu.ufinyu wa mawazo ndio unaweza kutaka upinzani ufe kama si upinzani je escrow ingejulikana? Vipi kuhusu EPA na mengine mengi.tuombe tuwe na upinzani imara na wenye tija.
 
Kumekuwa na kila dalili ya mzee Lowasa kujiunga CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu ikiwa ni kutokana na hofu yake ya kushitakiwa kwa matumizi mabaya ya mali za serikali pamoja na ufisadi. Washauri wake wa karibu pamoja na marafiki wake wakuu wamemtaka mara baada ya Dr Magufuli kuingia ikulu ni vema akarejea ktk chama chake ili kuweka mambo sawa kwa baadae tofauti na hapo hali yake kimaisha inaweza kubadilika sana.

Aidha kwa mujibu wa vyanzo vinavyoaminika vinasema Mzee Lowasa kujiunga na Chadema ni mojawapo ya mikakati ya muda mrefu ya CCM ktka kujiimarisha na kuongeza ushindi.
Kwa mazingira hayo chadema inaenda kubakia ktka historia ya vyama vya upinzani vilivyoibuka na kufa, poleni sana ndungu zetu wa chadema.

Kumbe ile habari ya choo na chumba ni kweli.
Yaani akimbie choo na kuja chumbani alafu arudi tena chooni.Atakuwa na roho ngumu. Anyway umesomeka kuwa CCM ni chaka la Mafisadi na walioko Upinzani ni Malofa.

 
mlivyomtukana hivi kisha arudi, basi atakuwa dr. Mihogo huyo, manake dr. Mihogo mpaka kipigo alipata leo hii yuko nao,
 
ujinga eti siasa bana
asikudanganye mtu mwaka huu ndio tumeingia ktk upinzani wa kweli soma historia ya kenya..malawi..zambia..nigeria...botswana nk pia mwalimu nyerere hakuwa mungu pale aliposema upinzan wa kweli utatoka chama tawala kwn alijua jinsi ccm ilivyopenyesha mamluki ktk vyama na kwamba siku ccm ikipasuka ndipo upinzani utakuwa wa kweli na mwaka huu ndio imetimia

.Mpinzani wa kweli hawezi kuwa Lowassa hata siku moja. Upinzani wa kweli ulikuwa chadema kabla nafasi ya kugombea kupitia chadema haijauzwa kwa Lowassa. Ndio maana hata majukwani hawaongelei chadema hata yeye Lowassa anjua kuna maisha baada ya uchaguzi anajua baada ya uchaguzi maisha yake yapo CCM, na sio yeye tu wapo wengi walomfuata nao wanajua vivyo hivyo. Hata Mbowe anajua kwamba Lowassa kaja chadema kujiegesha tu ili siku ziende haraka.
 
Mabadiliko tunayoyataka ni pamoja na fikra kuwa mtu hawezi kushtakiwa akiwa chama tawala
 
Magufuli atapata chini ya asilimia 40 kura za urais,,,sijui unaongelea ikulu ya wapi,mana hata Chato CDM wanakarbia kulibeba jimbo
 
Kwa maana kwamba mafisadi CCM ndo kwao,hata kama humpendi Lowasa ungejaribu kuuchuja Uzi wako has a ukizingatia humu si mahali pa udaku.
 
Kumbe ile habari ya choo na chumba ni kweli.
Yaani akimbie choo na kuja chumbani alafu arudi tena chooni.Atakuwa na roho ngumu. Anyway umesomeka kuwa CCM ni chaka la Mafisadi na walioko Upinzani ni Malofa.


Kinyesi kwake chooni.!
 
Back
Top Bottom