Mzee Pinda ,wewe Ni mstaafu ambaye unaonekana upo mstari wa mbele kutuliza upepo wa Tundu Lissu .
Ushauri wa Bure ...Kama Hawa vijana walikuliza Bungeni kwa hoja nyepesi enzi zile.! Nakushauri mwaka huu Uchaguzi kaa pembeni.mashambulizi makali yanaeleezwa kwa Magufuli na sio CCM!
Hii inatokana na ukweli kuwa JPM amekuwa ndio Chama na Chama Ni Yeye,
Mwachieni ajibu mwenyewe...mliposhauri mliambiwa muache kimbelembele na kuwashwa!
Mwachieni abebe msalaba wake!
Kwani Nini Bwana ....KANU,UNIP ziko Wapi...mbona maisha yanassonga!
Ushauri wa Bure ...Kama Hawa vijana walikuliza Bungeni kwa hoja nyepesi enzi zile.! Nakushauri mwaka huu Uchaguzi kaa pembeni.mashambulizi makali yanaeleezwa kwa Magufuli na sio CCM!
Hii inatokana na ukweli kuwa JPM amekuwa ndio Chama na Chama Ni Yeye,
Mwachieni ajibu mwenyewe...mliposhauri mliambiwa muache kimbelembele na kuwashwa!
Mwachieni abebe msalaba wake!
Kwani Nini Bwana ....KANU,UNIP ziko Wapi...mbona maisha yanassonga!