johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,962
- 141,963
Rais mstaafu mzee Kikwete ni mpenda Demokrasia ndio sababu anasema ukweli juu ya ubora wa IEBC.
Nakumbuka 2015 alikataa mambo ya Wagombea kupita bila kupingwa kwenye kura za maoni CCM na hata uchaguzi mkuu.
Nakumbuka 2015 alikataa mambo ya Wagombea kupita bila kupingwa kwenye kura za maoni CCM na hata uchaguzi mkuu.