- Thread starter
- #41
Sasa ngoja tuone kama atawasikiza.
Vipi ungependa aweke lock down?
Binafsi yangu NDIO.
Barakoa na social distancing pia kutambua ni janga la dunia inatosha sana mkuu.
Wewe huoni hivyo?
Sasa ngoja tuone kama atawasikiza.
Vipi ungependa aweke lock down?
Binafsi yangu NDIO.
Unawajua madikteta wewe?Alipoishia pale kwa udikiteta?
Heri tuibiwe lakini tubaki na utu na Uhuru wetu.Hivi ww ni pungu wa kiwango cha airbus nini!?
Hivi bado mnategem3a kujipenyeza mtuibie tena! Tutawahasi sasa hivi nyie leteni za kuleta! Magufuli ataendelea kuwatesa sana ninyi na JK wenu mfyuuuuu!
Acha basi, hata sijawahi fika!
Mshauri eeh? Muulize Bashiru jana nini kilimpataHuyo muda wake ulishaisha,atabaki kuwa mshauri tu.
Kwani kuna kiongozi ashakwambia usichape kazi?Tunataka atakae shikilia pale alipoishia magufuri, tulisha zoea kuchapa kazi tulisha zoea kulipa kodi, teyar tunajua sisi ni matajiri na vijana wamejityuni kukaa na kuchapa kazi hivyo hatutaki kurudi nyuma tunahitaji atakae tupeleka mbele zaidi na Sio kurudi nyuma
Kama huo mwanzo mpya utaleta pesa home na familia yangu watasoma bure na hospital bure basi nautakaTunataka mwanzo mpya. Utakaotambua nchi ni yetu sote. Utakaotambua tuna janga la Corona. Utakaotambua katiba mpya ni agenda yetu muhimu.
Mwanzo utakaotambua maendeleo ya watu nayo ni muhimu tena zaidi ya maendeleo ya vitu.
Nimeotea, Engineer Patrick Mfugale amekuwa Makamu wa Rais.waliokuwa na maoni tofauti kuhusiana na establishment ya sasa kwa hakika wangetufaa sana.
JK tupeni raha kwa kuandaa mustakabala mwema utakaotuletea mwanzo mpya.
Hakuna ushahidi wa hicho kinachoongelewa.Mshauri eeh? Muulize Bashiru jana nini kilimpata
acha uongoSiku zote CCM hujipanga.
Nimeotea, Engineer Patrick Mfugale amekuwa Makamu wa Rais.
Upo sahihi hao HAWAFAIHuo ni mfano wa outsiders ndani ya CCM usiyekuwa ya sasa.
Tunahitaji mabadiliko kamili.
Wote hao wanaweza kuwa bora kuliko:
1. Majaliwa
2. Ndugai
3. Simbachawene
4. Chenge
5. Mwigulu
6. Kabisa
Na wa namna hiyo.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Tanzania ilikuwa shamba la bibi ameinyoosha na tunataka pia inyooshwe vizur najua wapiga dili hawatafurahiaAlipoishia pale kwa udikiteta?
Barakoa na social distancing pia kutambua ni janga la dunia inatosha sana mkuu.
Wewe huoni hivyo?
Kwa hivyo mwandosya ni mzee pekee! Na huyu Abdulhaman kijana ni yupi? Au wakusudia comrade AbdulRahman kinana
Utu ni pamoja na uzalendo, haki na wajibu! Misingi iliyosimamiwa na JPM! Na iron lady naamini ataisimamia kwa wivu za simba jike!Heri tuibiwe lakini tubaki na utu na Uhuru wetu.
Kilichompatia nguvu magufuri ndio kitampatia nguvu samiaSamia hawawezi hao watu.
Tuseme ukweli.
Na akisema akaze BASI WATAMCHUKIA.
Huo mtandao ni mkubwa hauwezi na hata marehemu mwenyewe Hakuwamaliza.
Hii nchii ione hivi hivi.