johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,931
- 141,894
Rais wa awamu ya 4 . Mzee Kikwete leo ametoa maoni yake Kwenye Kikosi Kazi cha Prof Mkandala na Zitto kabwe
Source ITV
Source ITV
naye ni bomu alikuwa rais kwnini hakuweka mazingira ya demokrasia kama Kenya. Rubbish!Rais wa awamu ya 4 . Mzee Kikwete leo ametoa maoni yake Kwenye Kikosi Kazi cha Prof Mkandala na Zitto kabwe
Source ITV
King of dramaRais wa awamu ya 4 . Mzee Kikwete leo ametoa maoni yake Kwenye Kikosi Kazi cha Prof Mkandala na Zitto kabwe
Source ITV
HeheheeRais wa awamu ya 4 . Mzee Kikwete leo ametoa maoni yake Kwenye Kikosi Kazi cha Prof Mkandala na Zitto kabwe
Source ITV
Ndio nashangaaHuyu mzee atulie tu ,alishindwa yeye kutupa katiba, akatumia pesa kibao za watz, akahalibu mwenyewe mchakato kipindi Cha mwishoni kabisa
Kasababisha warioba kupigwa Makofi na makonda
Atuache tu, vidonda havijapona
Malizia kabisa ni huyu huyu aliemteua makonda kipindi cha lala salamaa.Huyu mzee atulie tu ,alishindwa yeye kutupa katiba, akatumia pesa kibao za watz, akahalibu mwenyewe mchakato kipindi Cha mwishoni kabisa
Kasababisha warioba kupigwa Makofi na makonda
Atuache tu, vidonda havijapona
Mwache Mzee,, sasa hivi hata hueleweki unataka nini, tulimtukana sana huyu Mzee Mungu akatuletea chizi.Show off ataki kabisa kuitwa mstaafu
Ana haki ya kutoa maoni, otherwise watz hatujui tunachopigania.Huyu mzee atulie tu ,alishindwa yeye kutupa katiba, akatumia pesa kibao za watz, akahalibu mwenyewe mchakato kipindi Cha mwishoni kabisa
Kasababisha warioba kupigwa Makofi na makonda
Atuache tu, vidonda havijapona
TOZO na vibanda vya mlinzi ndio tunahitaji watanzania? 😂Mwache Mzee,, sasa hivi hata hueleweki unataka nini, tulimtukana sana huyu Mzee Mungu akatuletea chizi.
Nataka nijue maoni yake Mzee wa Busara huyu.
Tozo tunaifanya ajenda, Lissu nae yuko njianiTOZO na vibanda vya mlinzi ndio tunahitaji watanzania? 😂
Kwaiyo mwanachadema mwenzetu huyu mkuu?
They act money and satanic while talking godly and grave rescuersRais wa awamu ya 4 . Mzee Kikwete leo ametoa maoni yake Kwenye Kikosi Kazi cha Prof Mkandala na Zitto kabwe
Source ITV
Huyu Mzee msanii sanaRais wa awamu ya 4 . Mzee Kikwete leo ametoa maoni yake Kwenye Kikosi Kazi cha Prof Mkandala na Zitto kabwe
Source ITV