Mzee Juma Duni Haji, wanaotaka Mbowe asote gerezani ni Washirika wa Chama Chako

Mzee Juma Duni Haji kwanza Shikamoo , waendeleaje na hali yako mzee wangu ?

Nimekusikia Mzee ukizungumzia sakata la Freeman Mbowe , umesema ukipata nafasi ya kusaidia Mbowe kutoka gerezani utafanya hivyo bila kujali kama UTATUKANWA , na ukaenda mbali kwa kudai kwamba wanaotaka Mbowe aendelee kusota jela wao wako Ulaya wakitumbua maisha mazuri .

Tunakushukuru sana Mzee wetu kwa huruma yako uliyoionyesha kwa Mbowe , kwa kujitoa kwako kutaka "usaidie" atoke jela , Tunakuombea kwa Mungu akulipe kwa moyo wako huo , Amina .

Bali tunachokutaarifu ni kwamba Freeman Mbowe hatotoka jela kwa kujidhalilisha , hatotoka gerezani kwa kumpigia magoti yoyote kwa TUHUMA ZA UONGO ZA UGAIDI ALIZOBAMBIKWA NA WATAWALA WAOGA wanaoogopa Katiba mpya , wewe Mzee Duni unawafahamu waliombambikia kesi ya Uongo Mbowe , hao ndio wanaotaka Mbowe afie jela , hawa ndio waliokubambikia wewe mwenyewe na wenzako KESI YA UHAINI miaka ya nyuma , usisahau Baba yako mzazi alivyopigwa Kibao Mahakamani hadi akaanguka alipokuwa anakuja kukusalimia , na tangu siku hiyo hukumuona tena Baba yako hadi alipokufa na kuzikwa , Mzee hawa ndio ambao hawataki Mbowe atoke jela , usiwasingizie walio Ulaya .

Wasiotaka Mbowe awe Huru ni hao CCM ambao wewe na chama chako cha ACT mmeunda serikali ya Mseto Zanzibar , kwamba wewe na wenzako ni sehemu ya serikali inayomkandamiza Mbowe , na sasa mmekubaliana kudanganya Dunia kwamba Mtaunda TUME HURU BILA KATIBA MPYA , Yaani bila Katiba Mpya Mahera au Jecha watakuwa wanaongoza TUME HURU ZA UCHAGUZI ! Hiki ni kituko cha Karne ! yaani Katiba ile ile inayomruhusu Mwenyekiti wa ccm kuteua na kufukuza atakavyo eti leo tuiundie Tume Huru !

Japo nimeandika mengi lakini lengo langu ni kukumbusha kwamba WANAOTAKA MBOWE AFIE JELA NI HAO HAO WASHIRIKA WENU WA MADARAKA , WALA SI WALE UNAODAI WAKO ULAYA , Kwa Umri ulionao na madhira uliyopitia hatukutegemea upotoshaji wa namna hii kutoka kwako , BADO NAAMINI ULINUKULIWA VIBAYA .

Wabillah Tawfiq
Hawa ACT Hawana sababu ya kudai Tume huru kabla ya katiba mpya, kwa SABABU kwa mujibu wa katiba hii ya sasa Time hii ni huru kabisa kwenye makaratasi.Ndo maana wananchi na vyama vya upinzani waliotoa maoni kuwa na katiba mpya itakayounda taasisi huru
 
Hii haiwezi kuwa sababu ya kuacha kumwambia ukweli huyo mzee, siku zote heshima lazima ilindwe, mtu akiichezea heshima yake maana yake anakuwa tayari kuipoteza.

Screenshot_20220124-174625.png
 
Mzee Juma Duni Haji kwanza Shikamoo , waendeleaje na hali yako mzee wangu ?

Nimekusikia Mzee ukizungumzia sakata la Freeman Mbowe , umesema ukipata nafasi ya kusaidia Mbowe kutoka gerezani utafanya hivyo bila kujali kama UTATUKANWA , na ukaenda mbali kwa kudai kwamba wanaotaka Mbowe aendelee kusota jela wao wako Ulaya wakitumbua maisha mazuri .

Tunakushukuru sana Mzee wetu kwa huruma yako uliyoionyesha kwa Mbowe , kwa kujitoa kwako kutaka "usaidie" atoke jela , Tunakuombea kwa Mungu akulipe kwa moyo wako huo , Amina .

Bali tunachokutaarifu ni kwamba Freeman Mbowe hatotoka jela kwa kujidhalilisha , hatotoka gerezani kwa kumpigia magoti yoyote kwa TUHUMA ZA UONGO ZA UGAIDI ALIZOBAMBIKWA NA WATAWALA WAOGA wanaoogopa Katiba mpya , wewe Mzee Duni unawafahamu waliombambikia kesi ya Uongo Mbowe , hao ndio wanaotaka Mbowe afie jela , hawa ndio waliokubambikia wewe mwenyewe na wenzako KESI YA UHAINI miaka ya nyuma , usisahau Baba yako mzazi alivyopigwa Kibao Mahakamani hadi akaanguka alipokuwa anakuja kukusalimia , na tangu siku hiyo hukumuona tena Baba yako hadi alipokufa na kuzikwa , Mzee hawa ndio ambao hawataki Mbowe atoke jela , usiwasingizie walio Ulaya .

Wasiotaka Mbowe awe Huru ni hao CCM ambao wewe na chama chako cha ACT mmeunda serikali ya Mseto Zanzibar , kwamba wewe na wenzako ni sehemu ya serikali inayomkandamiza Mbowe , na sasa mmekubaliana kudanganya Dunia kwamba Mtaunda TUME HURU BILA KATIBA MPYA , Yaani bila Katiba Mpya Mahera au Jecha watakuwa wanaongoza TUME HURU ZA UCHAGUZI ! Hiki ni kituko cha Karne ! yaani Katiba ile ile inayomruhusu Mwenyekiti wa ccm kuteua na kufukuza atakavyo eti leo tuiundie Tume Huru !

Japo nimeandika mengi lakini lengo langu ni kukumbusha kwamba WANAOTAKA MBOWE AFIE JELA NI HAO HAO WASHIRIKA WENU WA MADARAKA , WALA SI WALE UNAODAI WAKO ULAYA , Kwa Umri ulionao na madhira uliyopitia hatukutegemea upotoshaji wa namna hii kutoka kwako , BADO NAAMINI ULINUKULIWA VIBAYA .

Wabillah Tawfiq
Unajiumauma, unaandika huku unaogopa. Funguka mama, huu ndio wakati wa kusema kweli.
 
Simuamini huyo mzee na hayo maneno yake, simply ameyatoa kwa sababu amebanwa kwenye "ndoa" na bwana zao, akikosea lazima aambiwe ukweli.
Amesema atafanya hivyo bila kujali kama atatukanwa au lah.

Amesema pia "Serikali haijawahi kukiri kukosea"
Mwisho wa kunukuu.

Kwa sisi tulio huru binafsi nimemuelewa si lazima tufanane mitazamo.
 
Amesema atafanya hivyo bila kujali kama atatukanwa au lah.

Amesema pia "Serikali haijawahi kukiri kukosea"
Mwisho wa kunukuu.

Kwa sisi tulio huru binafsi nimemuelewa si lazima tufanane mitazamo.
Hiyo nukuu yake kuhusu serikali nayo ni ya kulaaniwa, inawafanya watawala wazidi kujiona miungu watu.
 
Mzee Juma Duni Haji kwanza Shikamoo , waendeleaje na hali yako mzee wangu ?

Nimekusikia Mzee ukizungumzia sakata la Freeman Mbowe , umesema ukipata nafasi ya kusaidia Mbowe kutoka gerezani utafanya hivyo bila kujali kama UTATUKANWA , na ukaenda mbali kwa kudai kwamba wanaotaka Mbowe aendelee kusota jela wao wako Ulaya wakitumbua maisha mazuri .

Tunakushukuru sana Mzee wetu kwa huruma yako uliyoionyesha kwa Mbowe , kwa kujitoa kwako kutaka "usaidie" atoke jela, Tunakuombea kwa Mungu akulipe kwa moyo wako huo , Amina.

Bali tunachokutaarifu ni kwamba Freeman Mbowe hatotoka jela kwa kujidhalilisha , hatotoka gerezani kwa kumpigia magoti yoyote kwa TUHUMA ZA UONGO ZA UGAIDI ALIZOBAMBIKWA NA WATAWALA WAOGA wanaoogopa Katiba mpya , wewe Mzee Duni unawafahamu waliombambikia kesi ya Uongo Mbowe, hao ndio wanaotaka Mbowe afie jela, hawa ndio waliokubambikia wewe mwenyewe na wenzako KESI YA UHAINI miaka ya nyuma, usisahau Baba yako mzazi alivyopigwa Kibao Mahakamani hadi akaanguka alipokuwa anakuja kukusalimia , na tangu siku hiyo hukumuona tena Baba yako hadi alipokufa na kuzikwa , Mzee hawa ndio ambao hawataki Mbowe atoke jela , usiwasingizie walio Ulaya .

Wasiotaka Mbowe awe Huru ni hao CCM ambao wewe na chama chako cha ACT mmeunda serikali ya Mseto Zanzibar , kwamba wewe na wenzako ni sehemu ya serikali inayomkandamiza Mbowe, na sasa mmekubaliana kudanganya Dunia kwamba Mtaunda TUME HURU BILA KATIBA MPYA , Yaani bila Katiba Mpya Mahera au Jecha watakuwa wanaongoza TUME HURU ZA UCHAGUZI ! Hiki ni kituko cha Karne ! yaani Katiba ile ile inayomruhusu Mwenyekiti wa ccm kuteua na kufukuza atakavyo eti leo tuiundie Tume Huru !

Japo nimeandika mengi lakini lengo langu ni kukumbusha kwamba WANAOTAKA MBOWE AFIE JELA NI HAO HAO WASHIRIKA WENU WA MADARAKA , WALA SI WALE UNAODAI WAKO ULAYA , Kwa Umri ulionao na madhira uliyopitia hatukutegemea upotoshaji wa namna hii kutoka kwako , BADO NAAMINI ULINUKULIWA VIBAYA .

Wabillah Tawfiq
Hivi kumbe Mbowe anakaa mahabusu kwa sababu ya watu walioko ulaya? Kwa hiyo Serikali imepewa shinikizo na watu wa Ulaya wamweke Mbowe Mahabusu? Tunashukuru Duni Haji kutujuza, ila isije ikawa ni akili Duni
 
Huyu Mzee Haji babu Duni juma aheshimiwe, some times uzee unamambo mengi

Binafsi namuheshimu sana
 
Amesema atafanya hivyo bila kujali kama atatukanwa au lah.

Amesema pia "Serikali haijawahi kukiri kukosea"
Mwisho wa kunukuu.

Kwa sisi tulio huru binafsi nimemuelewa si lazima tufanane mitazamo.
Mkuu Babu Duni ni kweli kwamba ana uzoefu mkubwa sana kwenye siasa , Lakini si kweli kwamba anajua kila kitu , na labda nikuhakikishie kwamba Mbowe hatoomba radhi hadi anakufa , familia yake imejiandaa kwa hilo .

Hata Hichilema alifanyiwa hayahaya , ni wapi alipoomba radhi ?
 
Mama muachie Mbowe maisha yaende ulidanganywa, wachaga hatudanganyiki kwa kujikosea kwenye machief wasiotambulika kutafuta huruma ya wachaga. Hio mikoa mingine Hakuna machief hadi uje uchagani.
umeanza kuhusu kumuongelea mheshimiwa mbowe ila umeharibu ulipoanza kusema nyie wachaga...upumbavu huu unachafua taswira ya chama flani mkuu
 
Heshima ni kitu cha bure.
Mwenye kiti akiri tu alivunya heshima then aanzekuona tena jua likizama.

Aachane na wala baga.
 
Kwa nini ACT wanapigia chapuo sana Mbowe aombe msamaha au asamehewe?! Ipi sababu inayowafanya wawe mbele kwenye suala la msamaha kuliko hata CHADEMA ambayo Mbowe ni mwenyekiti wake?!
kuna mchezo fulani mdogo sana wanacheza , ila wiki hii haitaisha kabla sijawalipulia mbali , Subiri !
 
Acha ujinga wewe bibie mwenzenu anataabika huko nyie mko nje halafu manamwambia asitoke kwa huruma ? Shenzi kabisa mnajuwa ana miss ipi familia yake? Kafanya ugaidi halafu hamtaki ahurumiwe atoke? Yaani mnategemea kushinda kesi ili atoke kwa ushindi?

Sahauni huyo msipokuwa makini anafungwa nguo imewavuka chutameni mkilazimisha kutembea mnaonyesha matupu yenu watu wanawacheka tangu lini ukainshinda serikali ? Lisu kaolewa huko na lema kaolewa huko halafu wanapiga kelele asitoke wakati wao wanakata vitunguu kuwapikiwa waume zao
hivi kumbe huyo hamnazo ni mwanamke, asalaleee
 
Mzee Juma Duni Haji kwanza Shikamoo , waendeleaje na hali yako mzee wangu ?

Nimekusikia Mzee ukizungumzia sakata la Freeman Mbowe , umesema ukipata nafasi ya kusaidia Mbowe kutoka gerezani utafanya hivyo bila kujali kama UTATUKANWA , na ukaenda mbali kwa kudai kwamba wanaotaka Mbowe aendelee kusota jela wao wako Ulaya wakitumbua maisha mazuri .

Tunakushukuru sana Mzee wetu kwa huruma yako uliyoionyesha kwa Mbowe , kwa kujitoa kwako kutaka "usaidie" atoke jela, Tunakuombea kwa Mungu akulipe kwa moyo wako huo , Amina.

Bali tunachokutaarifu ni kwamba Freeman Mbowe hatotoka jela kwa kujidhalilisha , hatotoka gerezani kwa kumpigia magoti yoyote kwa TUHUMA ZA UONGO ZA UGAIDI ALIZOBAMBIKWA NA WATAWALA WAOGA wanaoogopa Katiba mpya , wewe Mzee Duni unawafahamu waliombambikia kesi ya Uongo Mbowe, hao ndio wanaotaka Mbowe afie jela, hawa ndio waliokubambikia wewe mwenyewe na wenzako KESI YA UHAINI miaka ya nyuma, usisahau Baba yako mzazi alivyopigwa Kibao Mahakamani hadi akaanguka alipokuwa anakuja kukusalimia , na tangu siku hiyo hukumuona tena Baba yako hadi alipokufa na kuzikwa , Mzee hawa ndio ambao hawataki Mbowe atoke jela , usiwasingizie walio Ulaya .

Wasiotaka Mbowe awe Huru ni hao CCM ambao wewe na chama chako cha ACT mmeunda serikali ya Mseto Zanzibar , kwamba wewe na wenzako ni sehemu ya serikali inayomkandamiza Mbowe, na sasa mmekubaliana kudanganya Dunia kwamba Mtaunda TUME HURU BILA KATIBA MPYA , Yaani bila Katiba Mpya Mahera au Jecha watakuwa wanaongoza TUME HURU ZA UCHAGUZI ! Hiki ni kituko cha Karne ! yaani Katiba ile ile inayomruhusu Mwenyekiti wa ccm kuteua na kufukuza atakavyo eti leo tuiundie Tume Huru !

Japo nimeandika mengi lakini lengo langu ni kukumbusha kwamba WANAOTAKA MBOWE AFIE JELA NI HAO HAO WASHIRIKA WENU WA MADARAKA , WALA SI WALE UNAODAI WAKO ULAYA , Kwa Umri ulionao na madhira uliyopitia hatukutegemea upotoshaji wa namna hii kutoka kwako , BADO NAAMINI ULINUKULIWA VIBAYA .

Wabillah Tawfiq
Act wanapewa kwa siri fungi la mil 375 kwamwezi kea kaxi maalum

Akiwasema au kuwakemea si watakata huduma
 
Mbowe ni kafara ya nchi. Mandela alikuwa jela kwa miaka 27. Sembuse miezi kadhaa ya Mbowe?
Acha ujinga wewe bibie mwenzenu anataabika huko nyie mko nje halafu manamwambia asitoke kwa huruma ? Shenzi kabisa mnajuwa ana miss ipi familia yake? Kafanya ugaidi halafu hamtaki ahurumiwe atoke? Yaani mnategemea kushinda kesi ili atoke kwa ushindi?

Sahauni huyo msipokuwa makini anafungwa nguo imewavuka chutameni mkilazimisha kutembea mnaonyesha matupu yenu watu wanawacheka tangu lini ukainshinda serikali ? Lisu kaolewa huko na lema kaolewa huko halafu wanapiga kelele asitoke wakati wao wanakata vitunguu kuwapikiwa waume zao
 
Back
Top Bottom