Mzee Jakaya ni mapema mno

Soma vizuri nilichoandika kule juu, inawezekana tunatetea kitu kimoja, ila sababu ya kutosoma vizuri kwanza alichoandika mtu, ndipo umjibu.
 
Soma vizuri nilichoandika kule juu, inawezekana tunatetea kitu kimoja, ila sababu ya kutosoma vizuri kwanza alichoandika mtu, ndipo umjibu.
Mkuu niliisoma vizuri sana nami nilikuwa nakuunga mkono kusisitizia tu ulichoelezea kwa njia tofauti. Sorry kama nimekukwaza.
 
Mkuu niliisoma vizuri sana nami nilikuwa nakuunga mkono kusisitizia tu ulichoelezea kwa njia tofauti. Sorry kama nimekukwaza.
Hujanikwaza mkubwa, sikukuelewa samahani, Hapa kumkwaza mtu labda umshambulie yeye binafsi au jamii anayotoka, vinginevyo tunapeana changamoto, kuhabarishana, kuelimishana kutoa Mawazo (Stress).
 
W
Well said
 
vituko vya rais mstaafu wa aina ya nne unaweza kutengeneza filamu ya aina yake kwani huyu ndio alisababisha kila mtu akajiona anafaa kuwa rais yeye muda mwingi alitumia angani badala ya kushugurikia matatizo ya msingi ya wananchi haya ndio matokeo yake anajiumbua mwenyewe wengine ni wale waliokuwa mawaziri kwenye serikali yake ambaosasa hawana nafasi nao kila mara wanalalamika kana kwamba hawakuwahi kuwa kwenye nafasi za kufanya maamuzi akiwemo Mary nagu na yule aliyekuwa waziri wa fedha
 
Una hoja mtoa mada! Analalamika nini,wakati yeye ndio alkuwa mwenye wajibu wa kuondoa changamoto hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…