Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,193
- 4,661
Ilikuwa Familia yenye umoja na mahikamano
Wa2 Kutoka kushotoYule aliyejichubua na kutaka kujifananisha na dada yake yupo apo??....
hakupenda kuwa hivo alivokuwa ni aliumwa akaanza kubadilika rangi,ugonjwa unaitwa vitilgo nadhani, hata kwenye Autopsy report yake walithibitisha kwamba aliumwa huo ugonjwa kwa maana walimkuta na rangi mbili kwenye nanii yakeMichael Jackson alizaliwa kijana mmarekani mweusi akafa akiwa demu wa kidhungu ;-)
Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
Alikuwepo tayari, amezaliwa mwaka 1966.Janet hajazaliwa hapo?
Watu wakikaa kijiweni kunywa alkasusu husema lolote ilimradi wapoteze muda. Unaweza kuta hata ukiwaelezea vitiligo hawatojua ni kitu gani.hakupenda kuwa hivo alivokuwa ni aliumwa akaanza kubadilika rangi,ugonjwa unaitwa vitilgo nadhani, hata kwenye Autopsy report yake walithibitisha kwamba aliumwa huo ugonjwa kwa maana walimkuta na rangi mbili kwenye nanii yake
Kwenye hiyo picha yupo?Alikuwepo tayari, amezaliwa mwaka 1966.
Michael Jackson alizaliwa kijana mmarekani mweusi akafa akiwa demu wa kidhungu ;-)
Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
Yule jamaa hovyo kabisa.Michael Jackson alizaliwa kijana mmarekani mweusi akafa akiwa demu wa kidhungu ;-)
Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
Sasa mbona nasikia aliwahi kufanya oparesheni ya pua ili ichongoke aweze kuwa na mvuto.Je,nayo ni Kwasababu ya ugonjwa?.hakupenda kuwa hivo alivokuwa ni aliumwa akaanza kubadilika rangi,ugonjwa unaitwa vitilgo nadhani, hata kwenye Autopsy report yake walithibitisha kwamba aliumwa huo ugonjwa kwa maana walimkuta na rangi mbili kwenye nanii yake
Alivunjika pua baada ya kuanguka,kuna story nyingi za uwongo kuhusu MJ na wavivu wa hata ku google mnatembea nazo hivyo hivyo,MJ alikua na ugonjwa wa ngozi na aliwahi kuungua moto akitengeneza tangazo la Pepsi,so kuwa mweupe ni sehemu ya madhara ya huo ugonjwaSasa mbona nasikia aliwahi kufanya oparesheni ya pua ili ichongoke aweze kuwa na mvuto.Je,nayo ni Kwasababu ya ugonjwa?.
Mkuu kuwaelimisha wabongo utapata tabu sana! Wengi huwa hawafatilii wanasikiliza juu juu hata ile ziara yake aliyoifanyaga hapa bongo Michael Jackson wanasema ati alisema pananuka akarudi kwenye ndege akala kona😂 wakati mti alifanya ziara akatoa na misaada ndo akashuka kwa madiba!.. Hilo la rangi wengi ndo wameshajazana upuuzi tupu!hakupenda kuwa hivo alivokuwa ni aliumwa akaanza kubadilika rangi,ugonjwa unaitwa vitilgo nadhani, hata kwenye Autopsy report yake walithibitisha kwamba aliumwa huo ugonjwa kwa maana walimkuta na rangi mbili kwenye nanii yake
Sawa ndugu yake Michael JacksonAlivunjika pua baada ya kuanguka,kuna story nyingi za uwongo kuhusu MJ na wavivu wa hata ku google mnatembea nazo hivyo hivyo,MJ alikua na ugonjwa wa ngozi na aliwahi kuungua moto akitengeneza tangazo la Pepsi,so kuwa mweupe ni sehemu ya madhara ya huo ugonjwa
Ni wa kwanza kushoto na si wa piliWa2 Kutoka kushoto