Mzee Edward Lowassa thibitisha we ni mpinzani wa kweli

Huyo Alisha kuwa pm hawezi kufanya mambo ya kijinga atachekesha muda wwote anaweza rudi serikalini inategemea na deleva ataekuwepo
 
Mambo mengi yamesemwa juu ya utashi wa Lowasa kufanya siasa za upinzani tangu alipoondoka CCM.

Kuna wakati wanamabadiliko wanakuwa na mashaka kwa namna unavyoshiriki katika siasa za upinzani hasa Baada ya uchaguzi mkuu. Kulikuwa na tetesi huwenda ukarudi ulikotoka.

Ila yote hayo unayonafasi ya kuthibitisha uwezo wako wa kisiasa hasa kuwapigania Chama na viongozi wakuu waliosekwa lumande Leo .

M/kiti, Katibu na wabunge wako lumande sasa wewe uko uraiani basi chukua nafasi hii kufuta tetesi zote.
Uchonganishi in the action
 
atakuwa mpumbavu sana akifanya haya unayoyasema ili kukuthibitishia. mi ntamdharau sana. na sidhani atakuwa na akili kama yako hivyo kujikuta anatenda haya uyasemayo.upo likizo ya pasaka?shule mnafungua lini?

Mambo mengi yamesemwa juu ya utashi wa Lowasa kufanya siasa za upinzani tangu alipoondoka CCM.

Kuna wakati wanamabadiliko wanakuwa na mashaka kwa namna unavyoshiriki katika siasa za upinzani hasa Baada ya uchaguzi mkuu. Kulikuwa na tetesi huwenda ukarudi ulikotoka.

Ila yote hayo unayonafasi ya kuthibitisha uwezo wako wa kisiasa hasa kuwapigania Chama na viongozi wakuu waliosekwa lumande Leo .

M/kiti, Katibu na wabunge wako lumande sasa wewe uko uraiani basi chukua nafasi hii kufuta tetesi zote.
 
Acheni kum dis mgombea wetu wa urais mwaka 2020, twende na EDO, ulipo tupo!



upload_2018-3-28_14-22-21-jpeg.727612
 

Attachments

  • upload_2018-3-28_14-22-21.jpeg
    upload_2018-3-28_14-22-21.jpeg
    25.9 KB · Views: 22
Ni kweli ukiwa mpinzani kisha una biashara zako ujue lazima TRA watatumwa kukubambikia balaa lolote ili wakukomoe pengine Lowasa anaogopa Hilo,kumbuka mbowe amevunjiwa club yake ya miaka mingi pale mjini utawala huu kwa kukomoa watu unaongoza Afrika nzima kwa sasa, kwa sasa yafaa wapatikane wanasiasa ambao watakuwa hawana mali, biashara zozote Tanzania na familia zao ziishi mbali ikibidi hata Ulaya na America , hao ndiyo wataweza kupambana kwa ujasiri mkubwa ikibidi hata kwa Damu kumwagika kumtoa Mkoloni mweusi toka kolomije na chato.
Ukiona mpinzani amekaa kimya wakati huu ujue ni mfanyabiashara na anahofia biashara zake.
 
Mzee Lowassa alishawaonya kina Mbowe juu ya kuendekeza uanaharakati badala ya kufanya siasa zenye tija kwa Taifa.

Mzee hapendi mambo ya kujibishana na mamlaka, hapendi na hastahili usumbufu wa kupandishwa kwenye gari za polisi.

Ni mstaarabu anayejifahamu vyema, hivyo simuoni akiwa karibu na matukio ya sasa. Kuna somo ambalo wanaharakati wanatakiwa kulisoma haswa katika kipindi hiki.
Sasa ana haja gani ya kufanya maandamano wkt ni tajiri hapa nchini ana magorofa,mashule,radio,laundry service co.,Ranchi ya mifugo,ardhi kibao,pensheni ya uwaziri mkuu, kila takataka anayo.

Hajawahi kujua maisha ya Mbongo wa kawaida huyo na wala hajawahi kua mpinzani
 
Back
Top Bottom