Lordita
Member
- May 11, 2017
- 16
- 16
Mambo mengi yamesemwa juu ya utashi wa Lowasa kufanya siasa za upinzani tangu alipoondoka CCM.
Kuna wakati wanamabadiliko wanakuwa na mashaka kwa namna unavyoshiriki katika siasa za upinzani hasa Baada ya uchaguzi mkuu. Kulikuwa na tetesi huwenda ukarudi ulikotoka.
Ila yote hayo unayonafasi ya kuthibitisha uwezo wako wa kisiasa hasa kuwapigania Chama na viongozi wakuu waliosekwa lumande Leo .
M/kiti, Katibu na wabunge wako lumande sasa wewe uko uraiani basi chukua nafasi hii kufuta tetesi zote.
Kuna wakati wanamabadiliko wanakuwa na mashaka kwa namna unavyoshiriki katika siasa za upinzani hasa Baada ya uchaguzi mkuu. Kulikuwa na tetesi huwenda ukarudi ulikotoka.
Ila yote hayo unayonafasi ya kuthibitisha uwezo wako wa kisiasa hasa kuwapigania Chama na viongozi wakuu waliosekwa lumande Leo .
M/kiti, Katibu na wabunge wako lumande sasa wewe uko uraiani basi chukua nafasi hii kufuta tetesi zote.