Mzee Duni: Kwani CHADEMA ilipotaka maridhiano na hayati Magufuli ilikuwa CCM B? Kwanini ACT Wazalendo kuwemo katika SUK iwe nongwa?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,134
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema mzee Mandela alisema hakuna fursa nzuri ya kisiasa kama ile ya kukaa na mpinzani wako na kumueleza ukweli huku unamuangalia machoni.

Hivyo hao wanaopayuka kuwa ACT Wazalendo ni CCM B hawatusumbui kwani Chadema walipoomba maridhiano na hayati Magufuli walikuwa CCM B? ameuliza mzee Duni.

Chanzo: ITV Dakika 45
 
Wafuasi wa chadema ni wapumbavu sana!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
wapumbavu wanaofungiwa kila kitu mpaka viongozi wao!!Kweli ni wapumbavu!!
Misimamo mikali katika nchi inaletwa na watu kama nyie,hata kutambua safety valves za kufanya wananchi wapumue hamjui.Wayback 1995 WAPUMBAVU waliikosakosa CCM kuiondoa madarakani,endeleeeni kuwaita wapumbavu wakati wana gain public sympathy kwa UPUMBAVU wenu!!
 
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema mzee Mandela alisema hakuna fursa nzuri ya kisiasa kama ile ya kukaa na mpinzani wako na kumueleza ukweli huku unamuangalia machoni.

Hivyo hao wanaopayuka kuwa ACT Wazalendo ni CCM B hawatusumbui kwani Chadema walipoomba maridhiano na hayati Magufuli walikuwa CCM B? ameuliza mzee Duni.

Source: ITV Dakika 45
CHADEMAwaliomba maridhiano ya Kitaifa. ACT viongozi wao wameungana na CCM kuendelea kuwanyonya watanzania
 
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema mzee Mandela alisema hakuna fursa nzuri ya kisiasa kama ile ya kukaa na mpinzani wako na kumueleza ukweli huku unamuangalia machoni.

Hivyo hao wanaopayuka kuwa ACT Wazalendo ni CCM B hawatusumbui kwani Chadema walipoomba maridhiano na hayati Magufuli walikuwa CCM B? ameuliza mzee Duni.

Chanzo: ITV Dakika 45
Wao ni tawi la CCM
 
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema mzee Mandela alisema hakuna fursa nzuri ya kisiasa kama ile ya kukaa na mpinzani wako na kumueleza ukweli huku unamuangalia machoni.

Hivyo hao wanaopayuka kuwa ACT Wazalendo ni CCM B hawatusumbui kwani Chadema walipoomba maridhiano na hayati Magufuli walikuwa CCM B? ameuliza mzee Duni.

Chanzo: ITV Dakika 45
Babu Duni anatakiwa ajifunze kama maalim seif kukaa kimya,

Chadema si wa kuwaongelea kwa kweli hawa jamaa kisiasa wako ovyo sana zaidi ya sana yaani wao na siasa wanakimbizana njia tofauti kabisa, Lissu aliwakataza wenzake wasiende kwenye mkutano wa upinzani na rais Samia mpaka Mbowe atakapoachiwa, haijapita hata wiki 3 Mbowe bado yupo jela yeye anakutana na Rais Samia Brussels tena kakutana naye kwa heshima zote.,

Mimi nimeenda mbali zaidi ya alipoenda babu duni Chadema sio tu CCM B, CHADEMA ndio ccm yenyewe, nikimtazama Lissu kwenye ile picha na rais samia walivyogongeana kiwiko cha mkono kikorona korona na nikiunganisha Samia alivyomfata Lissu nairobi kumuangalia alipopigwa risasi lakini zaidi Rais aliposema yeye na Lisu ni mtu na dadaake napata mashaka sana na Uchadema wa T.Lissu., Sioni sababu ya kwanini kina Halima Mdee kufukuzwa chadema Tundu Lissu akaendelea kuachwa kwa dakika moja zaidi.
 
Babu Duni anatakiwa ajifunze kama maalim seif kukaa kimya,

Chadema si wa kuwaongelea kwa kweli hawa jamaa kisiasa wako ovyo sana zaidi ya sana yaani wao na siasa wanakimbizana njia tofauti kabisa, Lissu aliwakataza wenzake wasiende kwenye mkutano wa upinzani na rais Samia mpaka Mbowe atakapoachiwa, haijapita hata wiki 3 Mbowe bado yupo jela yeye anakutana na Rais Samia Brussels tena kakutana naye kwa heshima zote.,

Mimi nimeenda mbali zaidi ya alipoenda babu duni Chadema sio tu CCM B, CHADEMA ndio ccm yenyewe, nikimtazama Lissu kwenye ile picha na rais samia walivyogongeana kiwiko cha mkono kikorona korona na nikiunganisha Samia alivyomfata Lissu nairobi kumuangalia alipopigwa risasi lakini zaidi Rais aliposema yeye na Lisu ni mtu na dadaake napata mashaka sana na Uchadema wa T.Lissu., Sioni sababu ya kwanini kina Halima Mdee kufukuzwa chadema Tundu Lissu akaendelea kuachwa kwa dakika moja zaidi.
Watu wanashindwa kujua kuwa mageuzi ni Process ndefu. Kuna wapinzani hawakumbuki kwamba huko Zanzibar walishamaliza mbinu zote za kistarabu kutaka kuleta mageuzi. Kama ni kufa watu wamekufa zaidi kuliko sehemu yoyote ya Tanzania hii. Kama ni migomo na kususia ndio usiseme. Kama ni kufungwa ndio wamefungwa zaidi, kama ni kubambikiziwa huko ndiko kuna chuo cha kubambikizia watu, kama ni unafiki wa watawala huko ndiko kuna chuo kikuu kabisa lakini hao wanaoponda ACT na iliyokuwa CUF kuingia SUK walitaka nini?
Walitaka hata hio fursa ndogo ya kuendeleza mapambano ya ndani nayo ipotee na wapinzani wapotee kwa ujumla wake? hivi hao wanaopinga kuna walau anayefika robo ya siasa za akina maalim Seif?

Unapoishutumu ACT kisa eti Imekubali kushiriki GNu na CCM ni kushindwa kuwaheshimu Wazanzibari na madhila yao waliyopitia katika kudai mabadiliko.

Halikuwa jambo dogo hata kidogo kwa CCM kukubali kubadilisha katiba ya Zanzibar na kuwafanya wahafidhina watambjue kwamba huwezi kuongoza Zanzibar bila kuwa na Ushirikiano na wengine. Walau angeulizwa mh Aman Karume na iko siku atasema ukweli. Heshima kwa wapinzani wa zanzibar (akina Maalim Seif na wenzake mh Duni) kwa kutotoka kswenye mstari. Watu wanajuwa wanachokifanya.

Mimi nadhani kulitakiwa kuongezwe spidi tu na mikakati ya kudai mabadiliko kwa kuongezwa mbinu wakati unashikilia hicho kidogo. Wanaobeza hawajui historia ya kweli ya Zanzibar na hawajui siasa. ACT imeheshimu Muktadha wa zanzibar katika safari ya mabadiliko ya Tanzania. Kongole kwenu ACT.

Watu walishasahau maridhiano na miafaka 3 iliyofeli, kuleta mabadiliko si jambo dogo. Hapo ACT ilipofika Zanzibar ni kituo kidogo kuelekea mabadiliko kamili. Its a matter of Time. Msichojua hao wahafidhina hawataki hata kusikia Wapinzani kuwemo Serikalini na kujua mipango ya Serikali. wanaumia vibaya lkn katiba haiwaruhusu. Kwa nini usiwasifu ACT walau kwa hilo?

Nyinyi hebu nyamazeni bwana.........
 
Back
Top Bottom