Rejao huyu Davis Mosha wa Yanga na David Mosha wa Inter Consult mbona majina tofauti?! Kweli umeshindwa kugundua hata hilo?!
TB, Namfahamu huyu Mosha wa Inter Consult kwa jinsi alivyo kuwa ni zulmat wa nyumba za watu. Alipanga nyumba ya mtu pale Drive in (THB) estate kwa mkataba wa miaka 10. Nyumba hiyo ilikuwa kwenye morgage ya bank. Jamaa alilipa lile deni kule bank akakabidhiwa hati, akauza ile nyumba kwa mwarabu for millions. Mwarabu kavunja nyumba kashusha ghorofa. After expire ya lease, mwenye nyumba kaja na kushtuka nyumba haipo aliyepo kanunua paper work yote imebadilishwa. Mpaka sasa kesi iko mahakamani.Poleni ndugu na jamaa wa David Mosha... Mtoto wake naye alikufa baharini kule Mbezi Beach jirani na Rainbow Club...mwaka juzi...
kweli mkuu! RIP MZEE MOSHAkuleta utani kwenye kifo au kumwombea na kumsemea vibaya mtu.utakufa kabla ya wakati wako.
Mkuu Nyambala nakubaliana na wewe kuwa marehemu ni role models tuliotakiwa kuwa nao katika jamii na kuwa the guy achieved the best thru hard working, uadilifu na commitment na ni mmoja kati ya watanzania wachache ambao you can tell bila kigugumizi namna walivyo-accumulate wealth na hakuna ubishi kuwa Interconsult is one of the best performing construction company inayomilikiwa na wazalendo.Nii habari ya kusikitisha sana maana marehemu ndiyo haswaa aina ya role models tuliotakiwa kuwa nao katika jamii. The guy achieved the best thru hard working, uadilifu na commitment ni mmoja kati ya watanzania wachache ambao you can tell bila kigugumizi namna walivyo-accumulate wealth. Above all he valued elimu and did show by example kwamba elimu ni ufunguo wa maisha thru himself. Interconsult has so far become one of the best performing construction company inayomilikiwa na wazalendo.
RIP David Mosha, utakumbukwa daima and your legacy will live on.
i
TB, Namfahamu huyu Mosha wa Inter Consult kwa jinsi alivyo kuwa ni zulmat wa nyumba za watu. Alipanga nyumba ya mtu pale Drive in (THB) estate kwa mkataba wa miaka 10. Nyumba hiyo ilikuwa kwenye morgage ya bank. Jamaa alilipa lile deni kule bank akakabidhiwa hati, akauza ile nyumba kwa mwarabu for millions. Mwarabu kavunja nyumba kashusha ghorofa. After expire ya lease, mwenye nyumba kaja na kushtuka nyumba haipo aliyepo kanunua paper work yote imebadilishwa. Mpaka sasa kesi iko mahakamani.
Sio vizuri kutaja maovu ya watu wakishaitwa kwenye makao ya milele, ila ni muhimu kuangalia ni vifo vya namna gani vinawakuta hawa matajiri wetu wa ill gotten wealth. Kama mtoto wake alikufa maji na baba ndio kifo cha ajali, it might be just a coincidence or its the work of the 'karma' ya malipo ni hapa hapa duniani.
RIP David Mosha wa Inter Consult.