Mzee Butiku na Warioba, Ongeeni kuhusu Polepole kudaiwa kutekwa

Mzee Butiku na Warioba, Ongeeni kuhusu Polepole kudaiwa kutekwa

Mkulima

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2007
Posts
1,442
Reaction score
2,217
Mkikaa kimya wakati kijana wenu katekwa, ina maana mmemsaliti. Na huenda nyie ndio mmetoa taarifa za uwepo wa Polepole TZ.

Hasa mzee Butiku, Watanzania tunafikiri Wewe ndiye umemsaliti Polepole. Na kimya chako kinazidi kutu fanya tuendelee kuamini hivyo.
 
Back
Top Bottom