Mzee azidiwa ujanja garini

aduwilly

JF-Expert Member
Mar 11, 2009
1,177
305
Mzee mmoja alipanda kwenye daladala na kubahatika kupata siti, lakini baada ya muda akagundua kuwa simu yake aloiweka mfukoni imeibiwa, basi akaamua kumuomba jirani yake kwenye siti aibipu namba yake akiamini mwizi wake atakuwa hajashuka kwani daladala tangu iondoke alipopanda hakuna aliyeshuka. Kumbe yule jirani yake ndo alikuwa kamchomolea mzee simu yake na kuiweka kwenye kava jingine alilokuwa nalo, hivyo alipoombwa na mzee kuibipu namba yake, jamaa aliamua kumpa simu mzee ili abipu yeye mwenyewe kwa kuwa alijua dili lake lishawini. Basi ikawa kila Mzee alipojaribu kuibipu namba yake alisikia "Namba ya mteja unaempigia, inatumika kwa sasa tafadhali jaribu tena baadae"
 
nini.kilifuata?

Ukichukua simu halafu ukapiga namba ambayo line yake iko kwenye hiyo simu unaambiwa "namba unayopiga inatumika kwa sasa" so mzee akawa anasubiri kila baada ya dk 5 anapiga zen anajibiwa the same hadi jamaa akafika kituo anachoshuka na kutambaa na simu ya mzee
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom