Shamkware JF-Expert Member Nov 25, 2013 1,740 2,243 Jun 15, 2017 #22 Huyu akili maji kweli hazimtoshi kabisa
Lupweko JF-Expert Member Mar 26, 2009 20,693 20,453 Jun 15, 2017 #23 good96 said: Mkuu mbona mnageukana wenyewe kwa wenyewe Click to expand... Ukiona hivyo ndio ujue dalili za mgogoro tayari
good96 said: Mkuu mbona mnageukana wenyewe kwa wenyewe Click to expand... Ukiona hivyo ndio ujue dalili za mgogoro tayari
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Jun 15, 2017 #25 hahahaaah kwa hiyo yanga kuongozwa na Akili Mali endapo atachaguliwa??
IbrahimJumaMassanja Member Sep 2, 2015 10 0 Jun 15, 2017 #26 Sio kwelii, ni njia tuu ya kuwapumbaza walee bendera fauta upepoo
Miiku JF-Expert Member Oct 8, 2014 3,835 2,630 Jun 15, 2017 #27 Akilimali abaki tu kwenye kamati ya ulozi wa Yanga...huko anakotaka hakumfai.