Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,652
Hili jamaa lina mke wake. Mke wake pia alikuwa anaumia.
Malipo ni hapa hapa duniani, machozi ya mwanamke yana nguvu. Simuonei huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili jamaa lina mke wake. Mke wake pia alikuwa anaumia.
Hao watoto wanakuwaga hata na kadi sita jamaa angu usijipe uhalali oohKwa mujibu wake mimi ndio baba ake. Toka ujauzito nimelea hadi sasa.
Yaani kakomeshwa sanaMkomeeee kuwa mnawathamini michepuko kuliko wake zenu wa ndoa, unamwacha mwenzio amejikunyata kwa upweke home hana wa kutoka naye unaenda kumfurahisha malaya mchepuko alokosa mume we ukamfanya spea eti anakuwa na hadhi kuliko mkeo!Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu
Member wote wa JF kwangu ni kama sehemu ya familia. Humu unaweza kupata ushauri mzuri sana ambao unaweza kubadirisha maisha yako ina a positive way. Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni ushauri wenu kuhusu haya mahusiano yangu. Siku ya Xmass nilileta uzi humu kuhusu wife kunikamata red...www.jamiiforums.com
Pambav zakeMkomeeee kuwa mnawathamini michepuko kuliko wake zenu wa ndoa, unamwacha mwenzio amejikunyata kwa upweke home hana wa kutoka naye unaenda kumfurahisha malaya mchepuko alokosa mume we ukamfanya spea eti anakuwa na hadhi kuliko mkeo!Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu
Member wote wa JF kwangu ni kama sehemu ya familia. Humu unaweza kupata ushauri mzuri sana ambao unaweza kubadirisha maisha yako ina a positive way. Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni ushauri wenu kuhusu haya mahusiano yangu. Siku ya Xmass nilileta uzi humu kuhusu wife kunikamata red...www.jamiiforums.com
Sjui nimpe neno gan mchepuko wake
Mama tu ndiyo hujua baba halisi wa mtoto ni yupiBinafsi naamini huyu mtoto ni wa kwangu. Maana tokea ujauzito na zile tafrani za wazazi wake na binti nilibebeshwa mimi. Na hakuna instance yoyote iliyotilia shaka kuwa huenda mtoto sio wangu.
Hajui kitu Huyo anafikiri unapima Kama malaria na kupewa majibu kirahis rahis tuuUlishawahi kupima au kuona mtu anapima hiyo ‘DNA’ ndugu..? Au ni rahisi tu kuitaja, acha porojo bwa’mdogo.... usilishwe upepo.
Acha roho mbaya weweHili jamaa lina mke wake. Mke wake pia alikuwa anaumia. Malipo ni hapa hapa duniani, machozi ya mwanamke yana nguvu. Simuonei huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Comment yako imejaa ukweli mtupu. Asante.Hakuna mchepuko amewai kuwa na mwanaume mmoja mume wa mtu kwa uaminifu eti ukiwa kwako anakungoja umalizane na wife uje! Kama wapo wanyoshe kidole tuwaone, kama ulimfanya spea jua kuwa na wewe ni spea vilevile.