Mzazi mwenzangu niliyetoka naye siku ya Christmas nimeachana naye, kumbe kuna jamaa alikuwa anatembea naye

Mfia nchi

Member
Jul 18, 2019
89
162
Nimebwaga manyanga rasmi kwa huyu mwanamke. Angeweza hata kuniua. Mie nilikuwa nahangaika naye kumbe kuna lijamaa lilikuwa linajilia tu na bado linajilia.

Wanawake ni makatili sana. Juhudi zote hizo za kum-care kumbe kuna kijamaa anatoka nacho behind my back.

Hata sikuamini kama anaweza kunifanyia hivi. Nilijitahidi kumtimizia alichohitaji kadri ya uwezo wangu lakini kumbe ilikuwa kazi bure.

I'm still in a shock. Kila nikifikiria naona kama naota vile. Nimepoteza hata mapenzi na mtoto wangu.

Naomba ushauri wenu jinsi ya kumhudumia mwanangu ingawa binafsi upendo juu ya mwanangu kama vile umepoa.
 
Chief Pole kwa yaliyokukuta lakini nikuombe kitu usiwahukumu wanawake pekee hata wanaume pia ni makatili kwenye mahusiano. Zipo kesi nyingi sana zinadhihirisha cha msingi tuliza akili fanya utaratibu wakujua ukweli kuhusu damu yako halafu pambana na hali yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi naamini huyu mtoto ni wa kwangu. Maana tokea ujauzito na zile tafrani za wazazi wake na binti nilibebeshwa mimi. Na hakuna instance yoyote iliyotilia shaka kuwa huenda mtoto sio wangu.
 
Muite mkae chini upange jinsi utakavyo mhudumia mtoto wako. Mtoto wa mwaka mmoja anahitaji mapenzi ya mama yake. Nunua maziwa na unga wa mtoto, sabuni na mahitaji mengine. Hata ukikuta kidume humo ndani roho isikuume
 
Kwa mujibu wake mimi ndio baba ake. Toka ujauzito nimelea hadi sasa.
Dah we jamaa nina hatari hata mkeo sio watoto wako....huna koromeo halafu unafall kibwege...utakuja tunza sana watoto wa wenzio...ah ah
 
Dah we jamaa nina hatari hata mkeo sio watoto wako....huna koromeo halafu unafall kibwege...utakuja tunza sana watoto wa wenzio...ah ah
Kwa nini mkuu unasema hivyo? If you don't mind please share what you know
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom