mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Natangaza kujitolea kwa moyo wangu wote na kuweka maisha yangu kwenye mstari kwa kuwa kiongoza wa maandamano na mratibu wa maandamano hapa nchini tukianza na yale ya kupinga malipo ya dowans.....lengo la mimi kuamua hivi ni kutokana na kukosekana kwa mtu au taasisi itakayokuwa ikiongoza maandamano pengine ni kutokana na woga au mazoea ya nchi yetu.....nitaratibu maandamano yote ya amani na nitakuwa nikitoa updates hapa hapa kila wakati mpaka kieleweke....mungu ibariki tanzania