MaxShimba
Platinum Member
- Apr 11, 2008
- 36,008
- 4,093
You may as well call him Kaatan aka x paster. It is okay.
Unafahamu kwanini nimesema mimi ni Jew kupitia BLOOD COVENANT? Jifunze kusoma maandiko, my DNA is Christ's and not human's DNA.
Umeupataje uyahudi wako?
Why not?
I AM A BLACK JEW, what about that!!!!!
A Jew is any person whose mother was a Jew or any person who has gone through the formal process of conversion to Judaism.
Why not?
I AM A BLACK JEW, what about that!!!!!
I am a JEW by the blood covenant
mwenyewe na familia yako na dini yako!mleta madaj jipange upya unambwela sana,tatizo kuna wapumbavu fulani na wenyewe wanajiita wayahudi,ovyo kabisa!
WEWE NI LI ARABU AU LI IRANI? hakuna neno mayahudi ila wayahudi, unasikia wewe mtumwa wa miarabu koko?Kati ya watu wafuatao yupi wewe kwa ufahamu wako ndiye hasaa?
1. Anayefuata imani ya kiyahudi yaani dini ya mayahudi, au
2. Raia wa asili wa nchi ya asili ya Wayahudi, au
3. Yule mwenye asili ya Uyahudi kwa maana ya asili ya kizazi chake bila kujali anapoishi au
4. Yule anayetimiza vigezo viwili au vyote hapo juu!
Naomba ufahamu wako katika hili.
It is important to note that being a Jew has nothing to do with what you believe or what you do. A person born to non-Jewish parents who has not undergone the formal process of conversion but who believes everything that Orthodox Jews believe and observes every law and custom of Judaism is still a non-Jew, even in the eyes of the most liberal movements of Judaism, and a person born to a Jewish mother who is an atheist and never practices the Jewish religion is still a Jew, even in the eyes of the ultra-Orthodox. In this sense, Judaism is more like a nationality than like other religions, and being Jewish is like a citizenship. SeeWhat Is Judaism?
Tango angalia hizi video.There are two type of jews. Active jews are those jews who believe in judaism and spiritual jews, that is all christians all aver the world. get me ya kid of five? Iam a spritual jews, that is why I ilike jews and would like too to protect Israel land a perpetual heriatage to the jewish people.
Usisahau kuwa kuna sect ya Kiyahudi imepiga marufuku neno Jesus ambaye ni Christ,na wanaodai kumfuata hujiita Christians.There are two type of jews. Active jews are those jews who believe in judaism and spiritual jews, that is all christians all aver the world.
Umeupataje uyahudi wako?
Umeingia katika dini ya uyahudi? Umezaliwa na wazazi wenye asili ya uyahudi?
Au kwa kupenda tu na kujibambikizia uyahudi?
Max unaye ndugu anaitwa M. Mkwawa? Yeye pia ni black jew!!
Hapo mwanzoni umetoa maana/maelezo ya nani anakuwa yahudi. Baadae unaleta hadithi ya "blood covenant". Ulisahau kuingiza hili katika maelezo ya mwanzo? Blood covenant ni nini, Mlalamishi Max?
Well any Gentile and of course a Gentile is anyone whos not a Jew any Gentile who accepts Jesus automatically becomes a spiritual Jew.Unaikumbuka hii?Umesahau uliileta hii link? Umeiweka pembeni? link Jesus is a Jew
Empirical Truth:Tango angalia hizi video.
Kumbe hujui nini maana ya BLOOD COVENANT, halafu unabisha? Nonda Nonda Nonda, haya mambo ya Ukristo yalimshinda Mtume wa Allah, ikambidi aingie mitini, utayaweza wewe?
As I said before, MY DNA is of Christ Jesus. I just blew up your gasket. John 3:6, "Humans can reproduce only human life, but the Holy Spirit gives new life from heaven." When I received the gift of eternal life through my acceptance of Jesus Christ as my Lord and Savior, God breathed new life into me bringing a spiritual birth. At that moment I received heavenly DNA into my soul in the form of the Holy Spirit.
OK. nimeelewa kuwa uyahudi wako umeupata kupitia ndoto. Ulikuwa uaandike katika yale maelezo/maana ya myahudi pia,"mtu anakuwa myahudi anapopata ndoto ya kutembelewa na roho mtakatifu-(nafsi moja kati ya tatu ya ubunifu wa Paulo) na kumpulizia DNA ya kiroho. Yesu si Mungu anasema: "But about that day or hour no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.Matthew 24:36 "However, no one knows the day or hour when these things will happen, not even the angels in heaven or the Son himself. Only the Father knows.Mark 13:32 (Jibu lako kwa lile swali; there is no God,but One") Yesu si Mungu analalamika kwa Mungu :Then at three o'clock Jesus called out with a loud voice, "Eloi, Eloi, lema sabachthani?" which means "My God, my God, why have you abandoned me?"Mark 15:34 About three in the afternoon Jesus cried out in a loud voice, "Eli, Eli, lema sabachthani?" (which means "My God, my God, why have you forsaken me?").Matthew 27:46
Kumbe hujui nini maana ya BLOOD COVENANT, halafu unabisha? Nonda Nonda Nonda, haya mambo ya Ukristo yalimshinda Mtume wa Allah, ikambidi aingie mitini, utayaweza wewe?
As I said before, MY DNA is of Christ Jesus. I just blew up your gasket. John 3:6, "Humans can reproduce only human life, but the Holy Spirit gives new life from heaven." When I received the gift of eternal life through my acceptance of Jesus Christ as my Lord and Savior, God breathed new life into me bringing a spiritual birth. At that moment I received heavenly DNA into my soul in the form of the Holy Spirit.