Myahudi Ni Yupi Kati Ya Hawa?

Myahudi Ni Yupi Kati Ya Hawa?

Usizunguke mbuyu!

Kuna Wayahudi wa kabila; mitume wengi katika Uislamu wametokea katika kizazi cha wana wa Israel kwa hiyo ikitokea kwa mfano Jesus ni kutoka katika kabila la Yuda basi yeye anakuwa ni Myahudi wa kabila, na ni Muislamu kwa dini.

Kuna Waislamu wengi tu wa namna hii ambao kabila lao ni Uyahudi (lakini hatutumii kuwaita Wayahudi kwa vile haipendezi).

Halafu kuna Mayahudi wa dini; hawa ndio wale waliobakia katika dini ya Kiyahudi hata ulipokuja Ukristo na baadaye Uislamu.
Au walioiingia katika dini ya Kiyahudi, mfano Maashkenaz (ambao kwa sasa ndio walioiteka dini ya Kiyahudi) ,Waafrika, Waarabu n.k
Inawezekana sana kuwa katika Saudi Arabia na Iraq kuna Waislamu ambao damu zao ni za Kiyahudi.

Kumbuka walikuwepo Madina, baada ya ukorofi wao wakafukuzwa kwenda Khobar mpaka wakati wa Khalifa wa pili Umar bin Khattab akawafukuza kwenda Iraq.Sehemu zote hizi walizokaa kuna ambao walisilimu hivyo ni wazi kuwa damu zao zipo.
Baadhi ya Wasaudi wanadai kuwa Wafalme al-saudi ni kutokana na vizazi hivi.

Hizi sasa ndio siasa !
... hapa umechanganya dini na siasa
 
Hujajibu kitu hapo!

Mathalan, utamwitaje mtu ambaye mama yake ni Ashkhenaz Jew (Maashkenaz ni Mayahudi walioingia katika dini ya Kiyahudi, si Wayahudi katika kabila)

Kama akili yako inafanya kazi sawa sawa jibu la swali lako limejibiwa vyema kabisa na MaxShimba.
 
Tofauti kati ya Myahudi na Msukuma iko wapi? Wayahudi ni watu asili ya uyahudi, Kama vile msukuma alivyo wa asili ya usukumani kazaliwa na baba na mama wa kiyahudi! Au baba wa kiyahudi kama ilivyo destruri
 
basi yatosha, mwarabu ni nani? wapalestina ni wamevamia nchi ya Wana wa Israel lini? Mwaka gani? na watatoka lini?
 
Nifanye nn ili niwe myahudi?

Uyahudi kama kabila huwezi kujiunga ila Uyahudi kama imani unaweza kujiunga kwa kufuata yanayotakiwa kufuatwa kwa mtu anayetaka kujiunga na imani hiyo kama mchangiaji mmoja alivyoandika hapo juu.
 
Kama akili yako inafanya kazi sawa sawa jibu la swali lako limejibiwa vyema kabisa na MaxShimba.
Halafu kuna Mayahudi wa kitabia.

Mtu akiwa na tabia za kiyahudi basi utakuta ikisemwa; fulani myahudi yule! mtoto huyu ni myahudi huyu! n.k
 
Halafu kuna Mayahudi wa kitabia.

Mtu akiwa na tabia za kiyahudi basi utakuta ikisemwa; fulani myahudi yule! mtoto huyu ni myahudi huyu! n.k

Lazima huyo mtu atakuwa na akili sana maana Wayahudi wamethibitisha hilo katika historia yao iliyohifadhiwa vizuri kwa maandishi kwa zaidi ya miaka 5000.
 
Usizunguke mbuyu!Kuna Wayahudi wa kabila; mitume wengi katika Uislamu wametokea katika kizazi cha wana wa Israel kwa hiyo ikitokea kwa mfano Jesus ni kutoka katika kabila la Yuda basi yeye anakuwa ni Myahudi wa kabila, na ni Muislamu kwa dini.Kuna Waislamu wengi tu wa namna hii ambao kabila lao ni Uyahudi (lakini hatutumii kuwaita Wayahudi kwa vile haipendezi).Halafu kuna Mayahudi wa dini; hawa ndio wale waliobakia katika dini ya Kiyahudi hata ulipokuja Ukristo na baadaye Uislamu.Au walioiingia katika dini ya Kiyahudi, mfano Maashkenaz (ambao kwa sasa ndio walioiteka dini ya Kiyahudi) ,Waafrika, Waarabu n.kInawezekana sana kuwa katika Saudi Arabia na Iraq kuna Waislamu ambao damu zao ni za Kiyahudi.Kumbuka walikuwepo Madina, baada ya ukorofi wao wakafukuzwa kwenda Khobar mpaka wakati wa Khalifa wa pili Umar bin Khattab akawafukuza kwenda Iraq.Sehemu zote hizi walizokaa kuna ambao walisilimu hivyo ni wazi kuwa damu zao zipo.Baadhi ya Wasaudi wanadai kuwa Wafalme al-saudi ni kutokana na vizazi hivi.
nimefurahishwa na description yako, japo si mtaalam sana wa hayo mambo lakini nadhani uko sahihi, ! ukiangalia sana marafiki wakubwa wa Israel ni marafiki wa Saudia pia ( eg marekani) na maadui wakubwa wa Israel ni maadui wa Saudia eg Irani na Syria! anyways hata kama maelezo yangu na mifano sio sahihi , lakini nadhani kuna substance kwenye maelezo yako !
 
Lazima huyo mtu atakuwa na akili sana maana Wayahudi wamethibitisha hilo katika historia yao iliyohifadhiwa vizuri kwa maandishi kwa zaidi ya miaka 5000.
Msaliti,mfanya mambo kichinichini,bakhili, laghai ndiye ambaye huitwa Myahudi.
 
[TABLE="width: 83%"]
[TR]
[TD]
Messianic Jews Tell their Own Stories of Coming to Jesus (Yeshua)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[TABLE="width: 98%"]
[TR]
[TD]
All have come to see Yeshua is the same Messiah of the Jewish Torah
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
stardavid.jpg
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 536"]
[TR]
[TD]
Y'shua (Jesus) is the Messiah; the son of David; born in Bethlehem of Judah. He is: Mashiach ben David, Adonai Yeshua Ha Mashiach.

In Torah, Proverbs 30-4 says, and what is His Son's name, if thou canst tell?
[TABLE="width: 86%"]
[TR]
[TD]
Baruch Haba B'Shem Adonai
Blessed is He who comes in in the Name of the Lord
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Messianic Jews for Yeshua (Jesus)
 
Eiyer umesema ati nini? Mwarabu ni mtoto wa hse girl???? Wa wapi?? Iringa au moshi???
 
Back
Top Bottom