chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Niliachana na GF wangu tangu mwaka 2010.Jana katika pitapita zangu,nikaingie kwenye hotel flan kupata moja mbili,kuangaza kwa mbele zaid nikamuona nae kakaa na marafik zake wa kike wanakula na kunywa,nkaona si vyema kwenda kumsalimia,tukaongea sana,kama hatukuachana vile,she was ful of hapnes..najuta hata kwa nini tuliachana..Tatizo linalonitatiza,aliniambia ana mchumba mwingine,but whenever i find her anapokea calls zangu,sms anajibu vizuri tu,sometimes najifanyaga kama napotezea namtext hallow sweet,anajibu pia kimapenzi hivyo hivyo.Huwaga namuomba ushauri wa mambo mbalimbali,ananijibu,sometimes natoka nae out,just for a talk,anakuja..The problem is,tangu nikae nae au ni meet nae,simu yake haiiti wala kupigwa..nashangaa huyo mwanaume alieniambia anae ham kei?,sa nyingine mpaka najifanya kumbip kama nimekosea namba inaita tena kwa loud kabisa..Wakuu,i still love her,sijamtongoza tena,nishaurini nimfuate tena?,maana she has been so kind mpaka namshangaa,nikimuuliza how is your bf,anasema,yuko poa kabisa,is giving you hey!.She is stil beautiful,educated one,descent,but nipo mtegoni,sijui yupo na mtu kweli?need your advice please.