my x boyfriend ananitaka tena

my x boyfriend ananitaka tena

wewe mpe tu. halafu uje tena humu kutulilia. ndio kazi mojawapo ya JF
 
Kwa hiyo unataka umrudie kwa vile tu umefikia muda wa kuolewa

duh ila kwa ushauri wangu achana nae asijeona una shida saaana ya kuolewa atakutesa huyo
 
Ellena,msalimie diego,umerudi lini hasienda sun hose???
my ex............mnxiuuuuh


haya we mkubali tu olewa naye!!!

akitembea na rafiki yako mwingine mtaliki!

akigundua tena kuwa ni muongo, akikupigia simu mrudie!!!


my ex...............mxiuuuuh!!
 
Angekutaka angekuoa acha ushetan weeweeee songa na maisha
 
Kuna shida za kufikiria kutatua kama hawa jamaa wamegandiana kwenye sehemu za siri wewe ushagandiaana ushaiachia alafu unataka kurudi tena mtujazie watu muhimbili aku
 
kwani amekuambia anataka kukuoa au umechanganyikiwa na biological clock.
 
Ellena,msalimie diego,umerudi lini hasienda sun hose???
pono upo? mambo jamani?
yani najaribu kumpigia simu Diego lakini yupo hacienda Casablanca lakini hapokei .....sijui hata kuna nini!
 
Last edited by a moderator:
nawe unapenda xn fahari afanyayo yeye kutambaa na rafk yko,mrudie 2 mungu ndo ajuae nn ktaendlea..na ictoshe we ni mnafk tayr unamaamuz yako af unajfanya kuuza
 
habar wadau.naombeni ushauri nilikuwa na boyfriend wangu lakini 2liachana yapata mwaka sasa na akawa na uhusiano na rafiki yangu,sasa ananipiia cm anaomba 2rudiane nae kwa madai kuwa amegundua yule rafk yangu ni muongo,na mimi nimefikia muda wa kuolewa nifanyeje na mchumba sijampata?
Wewe dada unakaribisha virusi kwenye akiri yako. unaonekana huna msimamo achana na mambo ya Tamthilia ,mwili wako una thamani sana acha kuruhusu jamaa auchezee anavyotaka.Ukijiamini na kujiheshimu utapata tu mchumba atakae kuheshimu.Upendo wa kweli ni heshima kwa unaempenda jamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom