My World Without Women!

NiPM hahahahahahah kwa mara ya kwanza nimeomba PM ya mwanaume duuu you must be lucky one!

Awe makini tuu si watokea malindi weye,leo disco limeingia mmasai.Kweli kaka hawa watu unawajua vizuri,yaani wote wako kimya na mbaya zaidi wanakusifu kwa nyimbo na mapambio na thanks kibao.Shemeji angekuwa mmbeya,ningesema umeokoka.
 
Huyu Mzenj noma,kakubadilisha moyo uanze kuwapenda wanawake.Juzijuzi tu hapa ulikuwa unawaponda(eti wanakunywa mibia hadi wanajisaidia barabarani)

I am afraid hujanifahamu, napenda wadada wanajiheshimu, si wale walevi wala machangu, wanaofanya abortion, wakatili etc...hapo juu nimeandika wadada wenye mapenzi na mioyo ya nyama!
 
Ladies are like candles in darkness

I will give my life in defending women against men brutalities
 
I am afraid hujanifahamu, napenda wadada wanajiheshimu, si wale walevi wala machangu, wanaofanya abortion, wakatili etc...hapo juu nimeandika wadada wenye mapenzi na mioyo ya nyama!

Haya Bana,mwaka huu ni wako naona umepania kweli.Jimbo utalipata tu.Wanawake wote tutakupigia kura.By the way,Unataka jimbo lipi? kyela? we usiogope tutakuunga mkono,jitangaze mapema tu.
 
Women, a species that make men do what they would never imagine they could do. It starts with mama who wakes you up, bathes you, cuddles and strokes you gently, as she pets you. To her, you are the most wonderful of all living creatures, and while you're still a tiny speck of the human species, her eyes pierce your fears and offer you warmth, security and comfort. She is the first to love you truly and believe in you.

She is your confidante having swan naked in the warm pool she provided in her womb free of charge for nine months. She will forgo a lot to keep you happy. She is the first to believe in you, and the last to doubt you. While she is your chief cheerleader, your sisters and aunties and other female relatives will always complement her duties. They join the team of encouragers who will sharpen your malleable head into an aesthetic delight.

Thank you!!!:)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom