Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
Ukoo wa kiblurei ukojeukoje huo? Na unafanya nini?
Hahaha! Ukoo wa malangueji ya kimombo kigumu kama yale ya kibaibo ya old veshen!
Ukoo wa kiblurei ukojeukoje huo? Na unafanya nini?
Once I become the president of republic of kusadikika mawaziri na vyeo vyote vya juu serikalini nawapa wakina mama! Hawana mawaaa wala ufisadi hawa.....! Ukiacha wachache kama mama Ann Mkapa! LOL
Ukoo wa kiblurei ukojeukoje huo? Na unafanya nini?
kama sie!!! haaaaaa Masa bana we nikiona mbaliii!!! nchi ya kusadikika itapata maendele fasta
Xspin utakuwa katibu kata huko Nangurukuru!
Mkuu kumbuka shemeji ni auditor ana audit kila unachoandika mwambie XSPIN apunguze ukali wa maneno kidogo tusije haribu foundation yetu.
Nipatie na kasenksi kakukusupport
HAhahahahah Shem
Nimetoa ile thanks yangu kwa Xpin nimerusha kwako!