X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
- Thread starter
- #61
Nashukuru Akthoo, hii dua iwe makboor kwetu sote Insha'Allah.Mashallah! Mwenyezi Mungu akuzidishieni mapenzi ya dhati baina yenu na akuepushieni kila shari na husda. Muendelee kuwa mfano kwa watoto wenu, majirani na jumuiya kwa ujumla. Hongereni sana.
Jazakallah Khair