Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,418
- Thread starter
-
- #281
It seems you are into it, believe me I can also pay for you!Its not about you offering me trip, its being careful to what you are doing ..thats all!! Haahah
#idontliketravelling
Going places ni moja ya vitu napenda, unfortunately i have never been to the middle East zaidi ya UAE...
Kuna wakati nishawahi kupata offer ya kazi Iraq na Bahrain nikatosa zote, Iraq ni vile hakukuwa na usalama na Bahrain nilitosa baadaye bila sababu ya msingi...
Kati ya vitu vipo kwa bucket list yangu ni hizi sehemu za historia za middle east, plus maeneo fulani ya magharibi mwa India ambapo wanapatikana settlers waliotoka East Africa miaka ya zamani, and some still preserve zile norms za Afrika Mashariki...
You are too beautiful tatizo. Mpaka wenzio wanakuonea wivu. Have told you this one too many timesKwa kweli kubalance shobo ni muhimu sana. Sio mtu unamsoma tuu kwenye maandishi anachoandika unajikuta unamjua.
Excellent guides TanzaniaThis is considerably ok mkuu.
Ni nani organizers??? Kuna itinerary tayari??
Totoo usikate tamaa hivyo..wewe bado sana kukata tamaa. Kama ni siku, wewe kwako ni saa tatu asubuhi!Wengine tuwe wapenzi wasomaji maana hata hapo Kenya tuu sijui nitaenda lini?
Safari za ndani zenyewe ni shida tuu
Huko nje tutaweza kweli
H o n g e r a yako mkuu 👏
Kabisa mkuu, hakuna kukata tamaaaTotoo usikate tamaa hivyo..wewe bado sana kukata tamaa. Kama ni siku, wewe kwako ni saa tatu asubuhi!
Pambana weka malengo chanya
Hakika mkuu.Wabongo wengi wenye pesa zao ukiwaambia inshu ya kusafiri kuona dunia wanaona kama kuchezea hela ila kwenye kuhonga wanahonga IST,nyumba na viwanja.
Kweli kila mtu na hobbies zake...
Cant wait wait nianze bara la Asia kwanza.
Uchumi wa kati hautakiwi kuwa tatizo.Uzi mzuri kwa wapenda safari..ila uchumi wa kati ni tatizo
ulikula shawarma mkuu uturuki ni half EuropeUchumi wa kati hautakiwi kuwa tatizo.
By the way, hii safari sikupata kwenda tena sababu ya COVID 19 restrictions in Jordan. Instead I had to go to Turkey .