My two cents

Binti Maringo

JF-Expert Member
Jul 4, 2007
2,804
88
Jana nilikuwa na discuss this with one of my best buddy about this so called mafisadi and stuff right!...…
Nikakaa na nikafiria sana nikasema he is very right!...kama hapa jf nimesoma comment/contribution za watu wengi sana akina sijui mwanakijiji huko sijui akina mchukia fisadi ,Invisible and you and you and you…just to name the few (mifano)…you know tunalalamika kuhusu mafisaid this mafisadi that come to think about this righthata wewe ungekuwa kwenye upenyo kama waliokuwa nao akina rostam sijui Lowassa,Johnson Lukaza Mponjili trust me you would have done the same shit…I swear to my own grave I don’t lie and if I lie god is a fool…. if given that opportunity kama za akina Lowassa sijui dr ponjo hahaha me as Kelly01 hahahaha lazima na mimi ningefanyizia I don’t lie..pesa tamu bwana kama mtu hataki fwedha then msingehangaika kudamka asubuhi na kwenda kazini ili uweze kulipwa mshahara na kuwez akulipia bills zako actual kupata mahitaji yao ya lazima chakula,mavazi na pa kuishi….
And my point is mnapiga kelele za bure tuu…as long as you work and do what you are suppose to do that’s all matters..lets rostam be rostam etc na sheria itamshughulikia kama kumuweka behind bars au kunyongwa kama Saadam Hussein.
Peace!
 
Jana nilikuwa na discuss this with one of my best buddy about this so called mafisadi and stuff right!...…
Nikakaa na nikafiria sana nikasema he is very right!...kama hapa jf nimesoma comment/contribution za watu wengi sana akina sijui mwanakijiji huko sijui akina mchukia fisadi ,Invisible and you and you and you…just to name the few (mifano)…you know tunalalamika kuhusu mafisaid this mafisadi that come to think about this righthata wewe ungekuwa kwenye upenyo kama waliokuwa nao akina rostam sijui Lowassa,Johnson Lukaza Mponjili trust me you would have done the same shit…I swear to my own grave I don’t lie and if I lie god is a fool…. if given that opportunity kama za akina Lowassa sijui dr ponjo hahaha me as Kelly01 hahahaha lazima na mimi ningefanyizia I don’t lie..pesa tamu bwana kama mtu hataki fwedha then msingehangaika kudamka asubuhi na kwenda kazini ili uweze kulipwa mshahara na kuwez akulipia bills zako actual kupata mahitaji yao ya lazima chakula,mavazi na pa kuishi….
And my point is mnapiga kelele za bure tuu…as long as you work and do what you are suppose to do that’s all matters..lets rostam be rostam etc na sheria itamshughulikia kama kumuweka behind bars au kunyongwa kama Saadam Hussein.
Peace!

Duh.... This is amazing

Hongera kwa kuwa mkweli maana wengi wetu ni wanafiki... lakini nadhani ungekuwa smart zaidi na ungepunguza greediness ya Lowassa type wao wanabwiya tu na kunyang'anya walizonazo maskini

sidhani kama ungeenda that low ya ku-rob poor!! nadhani ungetumia perfomance based reward system --- yote ni ufisadi anyway

As long as hatuko kwenye ujamaa, ufisadi utaendelea kuwepo kwasababu ni agenda ya capitalism
 
Jana nilikuwa na discuss this with one of my best buddy about this so called mafisadi and stuff right!...…
Nikakaa na nikafiria sana nikasema he is very right!...kama hapa jf nimesoma comment/contribution za watu wengi sana akina sijui mwanakijiji huko sijui akina mchukia fisadi ,Invisible and you and you and you…just to name the few (mifano)…you know tunalalamika kuhusu mafisaid this mafisadi that come to think about this righthata wewe ungekuwa kwenye upenyo kama waliokuwa nao akina rostam sijui Lowassa,Johnson Lukaza Mponjili trust me you would have done the same shit…I swear to my own grave I don’t lie and if I lie god is a fool…. if given that opportunity kama za akina Lowassa sijui dr ponjo hahaha me as Kelly01 hahahaha lazima na mimi ningefanyizia I don’t lie..pesa tamu bwana kama mtu hataki fwedha then msingehangaika kudamka asubuhi na kwenda kazini ili uweze kulipwa mshahara na kuwez akulipia bills zako actual kupata mahitaji yao ya lazima chakula,mavazi na pa kuishi….
And my point is mnapiga kelele za bure tuu…as long as you work and do what you are suppose to do that’s all matters..lets rostam be rostam etc na sheria itamshughulikia kama kumuweka behind bars au kunyongwa kama Saadam Hussein.
Peace!

Kelly, mimi naafi ulosema fedha ni fedheha usipokuwa mwangalifu.Fedha zilimfedhehesha Yuda(kwa wanaomjua yuda aliyemsaliti Yesu).hata mimi nikipata nafasi nitaitumia ipasavyo. Sisi tunachopigia kelele ni usaliti wa waheshimiwa hawa basi wawe wakweli kama wewe wanapotuomba kula watweleze kuwa wanaomba kula ili wakatuibie,lakini wanapotuibia kwa hila za tutufanya wapumbavu ndo hapo tunapopiga kelele.
Na zaidi ya hayo tunapigia kelele vyombo vyetu vilivyopewa dhamana ya kutoa haki kwani haki haitolewi bali inanunuliwa kwa hiyo Rostam na wenzie hakuna siku watapata haki bali watainunua maana wanauwezo.
 
MT and Kahinda i feel you...but so far i stand true to myself na wala sifungamani na upande wowote i am lefty....

Kahinda you are right kuibia walal hoi ni dhambi inabid kusaidia kima cha chini....ila i am sure sheria itafanya kazi yake...But hey i need to know vyanzo na njia z akufika huko kwenye mlo ni how?
 
Jana nilikuwa na discuss this with one of my best buddy about this so called mafisadi and stuff right!...…
Nikakaa na nikafiria sana nikasema he is very right!...kama hapa jf nimesoma comment/contribution za watu wengi sana akina sijui mwanakijiji huko sijui akina mchukia fisadi ,Invisible and you and you and you…just to name the few (mifano)…you know tunalalamika kuhusu mafisaid this mafisadi that come to think about this righthata wewe ungekuwa kwenye upenyo kama waliokuwa nao akina rostam sijui Lowassa,Johnson Lukaza Mponjili trust me you would have done the same shit…I swear to my own grave I don’t lie and if I lie god is a fool…. if given that opportunity kama za akina Lowassa sijui dr ponjo hahaha me as Kelly01 hahahaha lazima na mimi ningefanyizia I don’t lie..pesa tamu bwana kama mtu hataki fwedha then msingehangaika kudamka asubuhi na kwenda kazini ili uweze kulipwa mshahara na kuwez akulipia bills zako actual kupata mahitaji yao ya lazima chakula,mavazi na pa kuishi….
And my point is mnapiga kelele za bure tuu…as long as you work and do what you are suppose to do that’s all matters..lets rostam be rostam etc na sheria itamshughulikia kama kumuweka behind bars au kunyongwa kama Saadam Hussein.
Peace!


I beg to differ.

Hivi unafikiri huko ulaya au US uliko (kama uko huko)..watu wangekuwa wanafikiria kwa mtizamo huu.. wangekuwa wapi? Dunia hii ina changamoto. Inahitaji uvumilivu na sacrifice. Kama generation yetu inafikiria kama wewe..basi we are condemned to be beggars and poor for thousands of years to come. Tanzania sheria zipo lakizi ni dhidi ya wanyonge. Na mabadiliko yataletwa na sisi. Hivi Nyerere alipoteuliwa kuwa waziri mkuu na wakoloni..angekuwa na mawazo kama haya..ingekuwaje? maana mzee alijiuzuru uwaziri mkuu akaenda kushika chaki Pugu...ili kupigania uhuru..si angesema mimi nimeshapata..kila mtu kivyake? Hutakuwa tofauti na yule anayesema ..heri kuishi kama nguruwe ariyeridhika kuliko binadamu mwenye njaa. Life is beyond eating and material things. Its also about dignity and self satsifaction. Hela ya wizi haiwezi kukufanya uwe na amani kama ya kutafuta kwa jasho.

Mabadiliko na maendeleo yoyote yanahitaji watu wasiokata tamaa. People who can never take no for an answer. Ukiwa na mtizamo wako..inaonyesha unakuwa mbinafsi..kwamba you are already in a comfort zote (no pun) kwa hiyo watu wahangaike tuu..Lakini kuna millions hawakubahatika kuwa kama wewe na mimi..wanategemea consciousness ya viongozi..waweze kujikomboa.

So naomba usiwe na mtizamo wa kukataa tamaa. You might be doing very well on a personal basis. LAKINI Binadamu tumeumbwa kuwa zaidi ya hapo. Lazima tujue what is good for our communities too. Ndo maana wazungu linapokuja swala la mali ya umma..kila mtu ana mchunga mwenzie..wewe tafuta zako uwe billionaire..lakini kodi za wananchi ziwanufaishe wote. Thats what we want in our country. Siyo huo mtizamo hasi..kwamba ukipewa nafasi na wewe utakuwa hivyo hivyo. Hayo ni mawazo ya kukataa tamaa. NA hatuyahitaji kwa sasa.
 
I beg to differ.

Hivi unafikiri huko ulaya au US uliko (kama uko huko)..watu wangekuwa wanafikiria kwa mtizamo huu.. wangekuwa wapi? Dunia hii ina changamoto. Inahitaji uvumilivu na sacrifice. Kama generation yetu inafikiria kama wewe..basi we are condemned to be beggars and poor for thousands of years to come. Tanzania sheria zipo lakizi ni dhidi ya wanyonge. Na mabadiliko yataletwa na sisi. Hivi Nyerere alipoteuliwa kuwa waziri mkuu na wakoloni..angekuwa na mawazo kama haya..ingekuwaje? maana mzee alijiuzuru uwaziri mkuu akaenda kushika chaki Pugu...ili kupigania uhuru..si angesema mimi nimeshapata..kila mtu kivyake? Hutakuwa tofauti na yule anayesema ..heri kuishi kama nguruwe ariyeridhika kuliko binadamu mwenye njaa. Life is beyond eating and material things. Its also about dignity and self satsifaction. Hela ya wizi haiwezi kukufanya uwe na amani kama ya kutafuta kwa jasho.

Mabadiliko na maendeleo yoyote yanahitaji watu wasiokata tamaa. People who can never take no for an answer. Ukiwa na mtizamo wako..inaonyesha unakuwa mbinafsi..kwamba you are already in a comfort zote (no pun) kwa hiyo watu wahangaike tuu..Lakini kuna millions hawakubahatika kuwa kama wewe na mimi..wanategemea consciousness ya viongozi..waweze kujikomboa.

So naomba usiwe na mtizamo wa kukataa tamaa. You might be doing very well on a personal basis. LAKINI Binadamu tumeumbwa kuwa zaidi ya hapo. Lazima tujue what is good for our communities too. Ndo maana wazungu linapokuja swala la mali ya umma..kila mtu ana mchunga mwenzie..wewe tafuta zako uwe billionaire..lakini kodi za wananchi ziwanufaishe wote. Thats what we want in our country. Siyo huo mtizamo hasi..kwamba ukipewa nafasi na wewe utakuwa hivyo hivyo. Hayo ni mawazo ya kukataa tamaa. NA hatuyahitaji kwa sasa.

"Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SDD1-09."
 
Jana nilikuwa na discuss this with one of my best buddy about this so called mafisadi and stuff right!...…
Nikakaa na nikafiria sana nikasema he is very right!...kama hapa jf nimesoma comment/contribution za watu wengi sana akina sijui mwanakijiji huko sijui akina mchukia fisadi ,Invisible and you and you and you…just to name the few (mifano)…you know tunalalamika kuhusu mafisaid this mafisadi that come to think about this righthata wewe ungekuwa kwenye upenyo kama waliokuwa nao akina rostam sijui Lowassa,Johnson Lukaza Mponjili trust me you would have done the same shit…I swear to my own grave I don’t lie and if I lie god is a fool…. if given that opportunity kama za akina Lowassa sijui dr ponjo hahaha me as Kelly01 hahahaha lazima na mimi ningefanyizia I don’t lie..pesa tamu bwana kama mtu hataki fwedha then msingehangaika kudamka asubuhi na kwenda kazini ili uweze kulipwa mshahara na kuwez akulipia bills zako actual kupata mahitaji yao ya lazima chakula,mavazi na pa kuishi….
And my point is mnapiga kelele za bure tuu…as long as you work and do what you are suppose to do that’s all matters..lets rostam be rostam etc na sheria itamshughulikia kama kumuweka behind bars au kunyongwa kama Saadam Hussein.
Peace!

umeisoma hii post dada? what "state" were u in when u were writing it? Just asking...
 
Nikishakwambia state itakusaidia nini?....aah kama ulikosa cha kusema ungeacha tuu!....

If you were on a high (natural or induced), it would've been understandable. If not then you need to touch base with reality, i.e the Tanzanian version
 
Ndio maana nchi yetu haitoendelea, Kelly 01 kuna watu wengi tu wako kwenye sehemu za mahela na ni waadilifu.
 
If you were on a high (natural or induced), it would've been understandable. If not then you need to touch base with reality, i.e the Tanzanian version

or that is your argument?... then ungekuja na point kuliko kuanza hit around the bush....oh well it doesnt matter nilikuwa katika situation gani...as long as nime deliver msg.
 
Ndio maana nchi yetu haitoendelea, Kelly 01 kuna watu wengi tu wako kwenye sehemu za mahela na ni waadilifu.

Icadon hivi unataka kuniambia hakuna nchi ambayo haina corruption?....hapa USA kwenye kuna corruption kuliko huko bongo sema bongo watu ni wale tuu na tunajuana sana....ndiyo maana its easy kujua data za mtu.
 
Icadon hivi unataka kuniambia hakuna nchi ambayo haina corruption?....hapa USA kwenye kuna corruption kuliko huko bongo sema bongo watu ni wale tuu na tunajuana sana....ndiyo maana its easy kujua data za mtu.

Kwa hiyo kwa kuwa kuna corruption US na sisi ndio tusipigane kuondoa hiyo corruption Tanzania?
Rushwa ya Tanzania inaumiza raia wa chini ata kwenye haki yako ya msingi bado utatakiwa kutoa rushwa, niambie wewe lini uliombwa kitu kidogo US wakati say unaomba uunganishiwe umeme au unarenew ID?
 
Back
Top Bottom