My top five diss tracks of all time

My top five diss tracks of all time

Mos kuna watu huwezi kuwabadilisha kuhusu wanavyoamini ktk muziki hata ufanyeje. Nakumbuka kipindi Rick Ross ana hit jamaa yangu alikuwa akimsikia ana mtoa anaweka anything old. Anasema hajui while wengine kwa kipindi kile wangependa kumsikia sana

Yeah, thats very true my man.

and thats the good thing about Music.
 
Komesha wa mipasho hapa bongo ni S kide mtoto wa mama shamte. Neema the true boy hua anatukanwa kama mtoto. Sikiliza wimbo huu
-Chizi wa manzese
-Dada neema.
Hafu yeye hasubir uanze kumtukana yeye anaporomosha tuuu matusi.
kuna hizi ngoma
  • Kabla hajatoka Diamond
  • Harmorapa
  • Dulla
  • Ushemeji upo
Lakini kiboko yao wote hapa bongo ni Nikki mbishi
 
How to rob-50 cent
WANKSTA-50 cent
Piggy bank-50 cent
Shook ones-Mob Deep(PAC diss song)
 
hivi 300 bars and still runnin na original 100 miles and runnin ya NWA ipi diss track kali?
for me original ya NWA kali kuanzia mistari ya vitisho hadi video
halafu we mosDef hujui kwa nini tunasema hit em up ni kali
pac took biggie's own beat and turned it on him
rhymes na jinsi walivyonata na beat ilikuwa superb
 
btw!! kwenye the story of adidon by king push..is it true kwamba Asap rocky ndo kammwagia habari king push au?!
 
btw!! kwenye the story of adidon by king push..is it true kwamba Asap rocky ndo kammwagia habari king push au?!
Kwan Asapy Rocky hawana maelewano mazuri na Drake? Hadi ammwagie habari king pusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom